DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]hatari Sana,Eti kameza shoka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ili mradi TU ipatikane sababu yoyote ile ya kukupiga kizinga usichomoke[emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]hatari Sana,Eti kameza shoka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kabisa[emoji3]Hahahahaha sasa hapo akimwambia sina au nivumilie atakutana na block kila sehemu
Kwanza kimahusiano haileti afya, otherwise awe desperate Sana na mahusianoMjini kaja Leo sioo...
Mwiko wangu ni kutongozwa Leo na kuombwa K Leo...asee najiskia kutapikaa
Huyu yaonyesha hana huruma na pesa zangu kabisaHa ha....
Unampotosha Sasa mwenZio, Sasa Kama kafeli karume.
Woolworth atapaweza kweli[emoji848]
Aaaah dah... Nimecheka mpaka nimedisaaaEti kameza shoka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sa hiyo K si ipo hapo hapo aibanduki na wala sio nzito.Sasa mbona wanaume wanashangaa kuombwa hela siku hyo hyo wakat yeye ameomba K siku hyo hyo?? Kama ulivyosema lengo ni kumtumia basi na yeye asiogope kutumika.
Mhh mkuu bwana kumbe unaweza kucheka hadi udindee? Si ni hatari hyo kama unakuwa mbali na mpozaji
Mwanaume aliye kamilika lazima ajiskie fahari kimhudumia mwanamke wake...Sa hiyo K si ipo hapo hapo aibanduki na wala sio nzito.
Kutoa chupli mpaka mpunga...[emoji23]
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Inachekesha, yaani mi nimejifunza kitu hapa! ukitaka kumtolea nje mtu we muombe mahela ya ajabuajabu tu basi, ili akalielie mbele huko na kutukana "kwani ina TV ndani" 😀😀😀Yaani [emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimesoma nimemaliza nimejikuta nacheka ukiona ghafla tu unapigwa na kizinga hata mwezi hamna jua tu hupendwiii unatafutiwa sababu tu ya kuachwa
[emoji23][emoji23]Inachekesha, yaani mi nimejifunza kitu hapa! ukitaka kumtolea nje mtu we muombe mahela ya ajabuajabu tu basi, ili akalielie mbele huko na kutukana "kwani ina TV ndani" [emoji3][emoji3][emoji3]
Mi pia unitokea iyo[emoji4]Mhh mkuu bwana kumbe unaweza kucheka hadi udindee? Si ni hatari hyo kama unakuwa mbali na mpozaji
MhhMi pia unitokea iyo[emoji4]
Mpe pole kwa tukio hilo, halafu mwambie muonane ili muongee zaidi.
Ukishaonana naye mwambie utamsaidia laki 2.
Then angalia uwezekano wa kupata burudani kutoka kwake.
Kama upo piga show then mpatie laki 2.