Nimemtongoza Jana, leo asubuhi kanitext kapoteza hela zote na hajui afanyeje

Nimemtongoza Jana, leo asubuhi kanitext kapoteza hela zote na hajui afanyeje

Eti kameza shoka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]hatari Sana,

Ili mradi TU ipatikane sababu yoyote ile ya kukupiga kizinga usichomoke[emoji4]
 
Uliambiwa kua uyaone, ushaanza kuyaona au bado hujakua?
 
Mbona hapo simple tu na wewe omba Uroda siku hiyo hiyo...akichomoa na wewe unachomoa kesi imeisha hapo...ila akikubali ujiandae kutoa hiyo kilo 5 sio hela ya mchezo kutoa kwa siku moja kuchakata Mbususu ambayo pale kimboka unaipata kwa buku 3.
 
Ila kuna madem wana majaribuu... Kweli maisha haya una mtandika mtu rungu la laki tano kichwani.

He kmmmke ndomana asaivi wengi washa liwa sana O zao

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Sasa mbona wanaume wanashangaa kuombwa hela siku hyo hyo wakat yeye ameomba K siku hyo hyo?? Kama ulivyosema lengo ni kumtumia basi na yeye asiogope kutumika.
Sa hiyo K si ipo hapo hapo aibanduki na wala sio nzito.

Kutoa chupli mpaka mpunga...[emoji23]

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Mademu wa siku hizi unaweza kusema ni watu wa maana.. kumbe mizinga tu
 
Sa hiyo K si ipo hapo hapo aibanduki na wala sio nzito.

Kutoa chupli mpaka mpunga...[emoji23]

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Mwanaume aliye kamilika lazima ajiskie fahari kimhudumia mwanamke wake...
Hata kama mmeongozana na mwanamke wako akiwa amependeza unajiskia fahari kama kweli anajitambua. Hata kama uwezo wa kugharamia nguo hana basi hata buku 5 ya steaming kila week mpatie mtu wako bila kuombwa yaani inaleta genye hatarii

Ndo maana nampenda anko maana ananipimp bila kumuomba. Kifupi anajua kwamba ili ni survive kama mwanadam hela ni muhimu....huo ni mfano tu ila kifupi ni proactive na sio reactive kwa situation mbalimbali
 
Ushauri wangu kwa mleta mada huyo mpiga mizinga mwambie asijisahau kuna wenzake huku wanatafuta kuolewa kwa nguvu tunamsubiri afike 30 years. Tukoment basi maana wengine kuoa tushaghairi ikitestia unalipuka kama nyuklia aliyotumiwa mleta mada
 
Yaani [emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimesoma nimemaliza nimejikuta nacheka ukiona ghafla tu unapigwa na kizinga hata mwezi hamna jua tu hupendwiii unatafutiwa sababu tu ya kuachwa
Inachekesha, yaani mi nimejifunza kitu hapa! ukitaka kumtolea nje mtu we muombe mahela ya ajabuajabu tu basi, ili akalielie mbele huko na kutukana "kwani ina TV ndani" 😀😀😀
 
Mpe pole kwa tukio hilo, halafu mwambie muonane ili muongee zaidi.
Ukishaonana naye mwambie utamsaidia laki 2.
Then angalia uwezekano wa kupata burudani kutoka kwake.
Kama upo piga show then mpatie laki 2.

Laki mbili?? Duh
 
Back
Top Bottom