[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kweli , wakishua hawana njaa .Ha ha....
Unampotosha Sasa mwenZio, Sasa Kama kafeli karume.
Woolworth atapaweza kweli[emoji848]
Ni raha Deep kama mtu anakufikisha.Sidhani kama unafika tu na kudumbukiza mkuyenge wako .Unamuandaa ,right? You eat her all body like sh!t, then unapiga show show, Sasa why asienjoy?Aaah wapi,
ingekua raha Ndo kigezo mngekua mnatupa bure Basi.
Nnachojua kile kiungo mwanamke yeyote anakilinda na kukithamini Sana.
Iyo Haina mjadala,
Ndo maana katika vitu havitokagi kichwani mwa mwanamke Ni kutumikishwa kingono.
Mf:kubakwa,kuliwa bure, kudhalilishwa uchi wake n.k
Hivyo Ata afanyiwe miaka 30 ilopita, bado tu Lazima atakumbuka na hatosahau kamwe[emoji4]
Ongeza ongeza...Ashafafanua au bado namm niongezee nyama?[emoji4]
Maana ake wote mnatumiana sio? Iyo ndo nzur Sasa[emoji4]Ni raha Deep kama mtu anakufikisha.Sidhani kama unafika tu na kudumbukiza mkuyenge wako .Unamuandaa ,right? You eat her all body like sh!t, then unapiga show show, Sasa why asienjoy?
Halafu pesa baada ya kumaliza nguvu zako kupiga show unamwachia..Inshort wewe hapo unatumika pia
Hayo ya kubaka au kutumika na mtu usiyemwelewa halafu haku support hayo ni mambo mengine.
Hawana njaa ila kitu kidg TU kumsurprise BBY, atajikuta kakomba balance yake yote ya mwezi mzima.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kweli , wakishua hawana njaa .
Ndo ukweli binamu[emoji4]
Hips mchomoko ndio zikoje izo cousin [emoji4]katika transaction yoyote iwe social, economic, au political inafanyika bila pande zote kuwa na maslahi...hata wewe umeona una maslah ya utamu ndo maana ukamtongoza mwenye hips mchomoko
Unajifanya hujui eeHips mchomoko ndio zikoje izo cousin [emoji4]
Nlikua na Kaz flan namalzia nifunge, Si unajua wikend leo[emoji4]Unajifanya hujui ee
Kwanza ujue nimekuita mda sana sema naona unajikausha binam yangu mm
Bro block hyo nambaJana katika pita pita zangu mjini nilipita mitaa ya karume kule ilala kwa vile wkt nipo mkoa niliskia soko liliungua basi nikasema kwa vile nipo mjini nakula likizo ngoja nikashangae mji.
Sasa ktk tembea tembea pale sokoni nikaiona pisi kali inachagua chagua blauzi za buku buku. Moyo ukafanya "chwaaaaaaaah!!!" Mamamamaaa aisee mjini kuna watoto wakali mazee. Alikua amepiga vile visketi flani vya mpira mpira hips zimechomoza kama vile zinapambana zitoboe ile sketi pembeni zipotelee kusikojulikana. Juu alipiga top halafu kifuani saa sita zimechomoza dizaini kama hakua amevaa bra. Nikajikuta kama nimeduwaa shetani akanishika mkono akaniambia "blaza blaza usinikemee, hakika mm ni rafiki yako wa kudumu [emoji39]"
Nikaanza kujivuta mdogo mdogo kuelekea alipokua anachagua nguo. Mapigo ya moyo yalikua yanaenda kasi mno mpaka nilikua nayaskia hapa kifuani "tu tu tuuuu!!!" Nikamsogelea
Mimi "hello bestie, habari"
Yeye "safi"
Mimi "samahani kama nakufananisha hivi"
Yeye "sio mimi"
Mimi "okay, nina shida nahitaji kuwasiliana na ww.. sijui naweza kupata namba yako?"
Akaniangalia kuanzia juu mpaka chini kisha akanipa kasimu kake ka smart ka Samsung nichore namba yangu. Nikaandika. Nikajibip. Nikamshukuru. Nikasepa.
Huyoooooo nikaenda kituo cha gerezani kudaka mwendo kasi nirudi kitaa. Nikasema simtafuti kwanza mpaka jioni. Usiku nikamtext kumpanga for the next appointment. Ila akawa ananijibu kimkato mkato tu. Nikampandia hewani akakata akaniambia subiri nipo na kaka ntakupigia. Ikabidi nimpige sound ktk sms, akatiki lkn kwa masharti nisimuumize maana mahusiano yake yaliyopita alitendwa na hatopenda kupata experience kama ile. Nikamtoa hofu!
Leo asubuhi nimeamka nimekuta amenitumia bonge la text "baby sorry jana jioni wkt tunaonana nilikua na ela ktk mkoba mzee alinituma nikazitoe benki za mafundi hapa home, kama laki tano. Leo asubuhi kaja fundi nataka nimpe sizioni, nahisi niliibiwa pale Karume... Nimemuambia baba hanielewi, sijui nifanyeje naomba nisaidie..." Text nyngne akaweka vikopa kopa na vile vi emoji kama anaona aibu vile...
Nimeshindwa nimjibu nini aisee
Somaga PM nshakutumiaNlikua na Kaz flan namalzia nifunge, Si unajua wikend leo[emoji4]
Nambie cousin, ndo ikoje iyo[emoji4]
Chemistry ndo kila kitu aise..Maana ake wote mnatumiana sio? Iyo ndo nzur Sasa[emoji4]
Afu iyo yote Suzie Ni mpk chemistry yenu imatch, sio Ile ya kuokotana kwny mitumba karume mnaenda lodge TU hamjuani ovyo ovyo TU[emoji4]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hiyo dinner date yake sasa.Hawana njaa ila kitu kidg TU kumsurprise BBY, atajikuta kakomba balance yake yote ya mwezi mzima.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Wanawake wengine huwa wanavuta bhangi mkuuSi bora ww laki tano mwenzako humu humu katongoza demu leo kesho demu anamkopa jamaa 2 Milioni noma sana.
Ndio inavyokuwaga hivi ili asisumbue [emoji1787][emoji1787]Inachekesha, yaani mi nimejifunza kitu hapa! ukitaka kumtolea nje mtu we muombe mahela ya ajabuajabu tu basi, ili akalielie mbele huko na kutukana "kwani ina TV ndani" [emoji3][emoji3][emoji3]
Ngoja nione [emoji4]Somaga PM nshakutumia
Sahii kabisa binamu, [emoji4]Chemistry ndo kila kitu aise..
Ngumu sana kumvulia mtu ambaye huna chemistry nae ndo kama hivyo huyu kashapigwa mzinga wa fasta .
Itakua hata mwanamke hajamwelewa ndo maana kapiga mzinga iwe njia kumpima au to push him away.Kazi kwake
Dinner TU anaanzisha uzi?[emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hiyo dinner date yake sasa.
Jamaa atakuja kuweka tangazo kila jukwaa la jf
Wee hivi ule Uzi wako wa makapuku uko jukwaa gan vile? Nautafuta siuoni[emoji848]Ndio inavyokuwaga hivi ili asisumbue [emoji1787][emoji1787]