Nimemtongoza Jana, leo asubuhi kanitext kapoteza hela zote na hajui afanyeje

Ni raha Deep kama mtu anakufikisha.Sidhani kama unafika tu na kudumbukiza mkuyenge wako .Unamuandaa ,right? You eat her all body like sh!t, then unapiga show show, Sasa why asienjoy?

Halafu pesa baada ya kumaliza nguvu zako kupiga show unamwachia..Inshort wewe hapo unatumika pia

Hayo ya kubaka au kutumika na mtu usiyemwelewa halafu haku support hayo ni mambo mengine.
 
Maana ake wote mnatumiana sio? Iyo ndo nzur Sasa[emoji4]

Afu iyo yote Suzie Ni mpk chemistry yenu imatch, sio Ile ya kuokotana kwny mitumba karume mnaenda lodge TU hamjuani ovyo ovyo TU[emoji4]
 
katika transaction yoyote iwe social, economic, au political inafanyika bila pande zote kuwa na maslahi...hata wewe umeona una maslah ya utamu ndo maana ukamtongoza mwenye hips mchomoko
Hips mchomoko ndio zikoje izo cousin [emoji4]
 
Unajifanya hujui ee
Kwanza ujue nimekuita mda sana sema naona unajikausha binam yangu mm
Nlikua na Kaz flan namalzia nifunge, Si unajua wikend leo[emoji4]

Nambie cousin, ndo ikoje iyo[emoji4]
 
Bro block hyo namba
 
Maana ake wote mnatumiana sio? Iyo ndo nzur Sasa[emoji4]

Afu iyo yote Suzie Ni mpk chemistry yenu imatch, sio Ile ya kuokotana kwny mitumba karume mnaenda lodge TU hamjuani ovyo ovyo TU[emoji4]
Chemistry ndo kila kitu aise..

Ngumu sana kumvulia mtu ambaye huna chemistry nae ndo kama hivyo huyu kashapigwa mzinga wa fasta .

Itakua hata mwanamke hajamwelewa ndo maana kapiga mzinga iwe njia kumpima au to push him away.Kazi kwake
 
Si bora ww laki tano mwenzako humu humu katongoza demu leo kesho demu anamkopa jamaa 2 Milioni noma sana.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Wanawake wengine huwa wanavuta bhangi mkuu
 
Inachekesha, yaani mi nimejifunza kitu hapa! ukitaka kumtolea nje mtu we muombe mahela ya ajabuajabu tu basi, ili akalielie mbele huko na kutukana "kwani ina TV ndani" [emoji3][emoji3][emoji3]
Ndio inavyokuwaga hivi ili asisumbue [emoji1787][emoji1787]
 
Chemistry ndo kila kitu aise..

Ngumu sana kumvulia mtu ambaye huna chemistry nae ndo kama hivyo huyu kashapigwa mzinga wa fasta .

Itakua hata mwanamke hajamwelewa ndo maana kapiga mzinga iwe njia kumpima au to push him away.Kazi kwake
Sahii kabisa binamu, [emoji4]
Usikute Ni kumkomesha TU akwende zake uko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…