Nimemtongoza kaniambia ana mchumba lakini...

Nimemtongoza kaniambia ana mchumba lakini...

Bint anaumri gani?

Hapo pita ondoka ndivyo alivyo maanisha
 
Mwanawake ni viumbe wa ajabu kweli...anakwambia umpe muda afikirie halafu anarudi na jibu ya kuwa anaye mchumba[emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwa sisi mabaharia, ngoja nikupe tips hii, hawa mademu wanozugaga ni walokole na wapo kwenye magroup ya dini, wote huwa wanamajibu ya hivyo, kwani wengi wao wanachepuka, hivo ili siku akijakukupa PAPUCHI usistuke usipokuta bikra, au siku ukamfumania au ukakuta anachat na njemba, jibu atakalokupa ni "huyu ndo yule mchumba/KAKA niliyokwambiaga ila bado ananisumbuaga".
 
Kwenye profile yake kaandika ana 34,kazaliwa 1985 so huu mwaka anafikisha 35

Ni mkubwa sana huyu
Ukubwa wa pua si wingi wa kamasi
Katika umri huo lazima akili iwe imetulizana unless awe lucid
 
hope1985, Umri wako utakua ni mdogo sana. kua na bidii ktk kutafuta maisha na hayo mambo yatakuja yenyewe..nasema umri wako ni mdogo kwa sababu nimetazama jinsi ulivyo andika na ushauli unao utaka kwa watu mpaka nimeshangaa,kua busy na pesa kwa bidii utengeneze maisha badala ya huu upuuzi.
Sawasawa father
 
Waswahili walisema "Kisebusebu na kiroho papo".

Sasa si kashakwambia ana mchumba na umesema umekubali, au?
 
Habari za asubuhi wakuu, kuna dada nipo naye kwenye group moja la whatsapp la mambo ya dini nimekuwa nikichart nae sana mpaka usiku wa manane nilimuomba awe rafiki yangu akakubali bt lengo langu nilitaka nimsogeze karibu kisha nimtokee kweli tumezoeana sana full kumsifia sifia status zake zote sasa niliamua kumpa ukweli wa lengo la kumuomba urafiki.

Mi nataka awe mpenzi wangu na mbeleni nimchumbie ilikuwa ni usiku wa juzi akanijibu ngoja afikirie nimpe muda nikamwambia poa sasa jana usiku akanitumia sms kwamba yeye ana mchumba wameahidiana ahadi nyingi sana na anaogopa kuwa msaliti wa ahadi hizo mmh nikamwambia sawa haina shda na asante sana bs akaanza kulalamika kwamba anajisikia vibaya mi kuumia kwaajili yake.

Nikamwambia hapana nipo pamoja na wewe naheshimu mawazo yako utaendelea kuwa rafiki yangu kiukweli mi nampenda yaani nimempenda sana hata nikimwambia nirushie picha zako anarusha kama 20, hawez kulala mpaka tuagane je wajuba na mabaharia huyu tampata kweli au nimpotezee kabisa. nipeni mbinu mpya.
Kachukue maujuzi kwa uzi pendwa
 
Mwanawake ni viumbe wa ajabu kweli...anakwambia umpe muda afikirie halafu anarudi na jibu ya kuwa anaye mchumba[emoji23]
Hawana akili Hawa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

One love
 
Sasa una chat Hadi sanane afu ujui Kama utampata ? Huwa mnachat nini Sasa? Kijana jichunge Sana ?

Ni sawa na guys unakuta anaambatana na rafiki wa kike afu anasema ni rafiki tu? Sijui huwa wanazungumza mambo yapi?

Dunia yangu ni ya ajabu , nikamuomba urafiki garl, akirogwa akajibu chat zangu 5 with passion lazima aliwe.
 
Kwenye profile yake kaandika ana 34,kazaliwa 1985 so huu mwaka anafikisha 35

Ni mkubwa sana huyu
Mkubwa kwa umri sio AKILI. Angekuwa na akili asingekuwa anakesha kuchat na wadada hadi usiku wa manane.
 
Back
Top Bottom