kenny mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 17, 2021
- 316
- 848
Wakuuu naombeni mbinu nimepewa jibu ili vipi APA?
Kakubali hau kazingua hau ananichoraaa??
Kakubali hau kazingua hau ananichoraaa??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka swaga ziliisha[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Naona kama nakupenda hivi[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
Daaah [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Umeeleweka
Mzee kinachofata mshahara wako kuteketezwa uje na Uzi mwingine
'Wa "Nmekoma nmekoma'
Ndio kamaanisha nn?Ok nimeelewa
Shitty hakukubali huyo 😔Wakuuu naombeni mbinu nimepewa jibu ili vipi APA?
Kakubali hau kazingua hau ananichoraaa??
View attachment 2471471
Ameelewa . Kasema ameelewa. Kwa ufafanuzi zaidi washirikishe wazazi wako, maana kama wana mpango wa kukopa ada mkopo wa kausha damu, bora wakanunue mbuzi wa maziwa wafugeWakuuu naombeni mbinu nimepewa jibu ili vipi APA?
Kakubali hau kazingua hau ananichoraaa??
View attachment 2471471
Mimi majibu hayo ya nimekuelewa nimeshapewa sana huwa mara nyingi wanamaanisha wamekubali,sasa hapo muulize umenielewa ina maana umekubaliana na ombi langu atakujibu!Kaka swaga ziliisha[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Duuuuh kwahyo kakubali hau miyayusho?[emoji848][emoji848]Ameelewa . Kasema ameelewa. Kwa ufafanuzi zaidi washirikishe wazazi wako, maana kama wana mpango wa kukopa ada mkopo wa kausha damu, bora wakanunue mbuzi wa maziwa wafuge
Wakuuu naombeni mbinu nimepewa jibu ili vipi APA?
Kakubali hau kazingua hau ananichoraaa??
View attachment 2471471
Hahahahah kaka nikimuuliza hivyo si ataniona kolo hau?[emoji848][emoji848]Mimi majibu hayo ya nimekuelewa nimeshapewa sana huwa mara nyingi wanamaanisha wamekubali,sasa hapo muulize umenielewa ina maana umekubaliana na ombi langu atakujibu!
Wanafunzi wa shule gani wanalipwa mshahara? Ukute wazazi wake wameenda kukodi wababu wa hekima wakamsaundishe mkuu wa shule, yeye anatongoza tongoza wasichana wa kaziUmeeleweka
Mzee kinachofata mshahara wako kuteketezwa uje na Uzi mwingine
'Wa "Nmekoma nmekoma'
Kaka ni Demu ninaeshimiana nae sana halafu mlokole kinoma lazima uoga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa samahani za nini tena hapo mkuu? Jiamini mzee mtanashati
Hahahahahahumu ndani ni hit after hit [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji848][emoji848][emoji848]Imethibitishwa Umepokea Tsh500,000 kutoka kwa Wakala: JOHN ELIUD MAGANGA. Salio lako ni Tsh512,000. Muamala No: D2256221.1256.N9002
Hau ndio nini? Hivi uko darasa la ngapi vile?Duuuuh kwahyo kakubali hau miyayusho?[emoji848][emoji848]