Nimemtongoza mjamzito kanikubalia, nasubiri wakati tu nikafanye yangu

Nimemtongoza mjamzito kanikubalia, nasubiri wakati tu nikafanye yangu

Zero IQ

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
13,959
Reaction score
24,935
Sitaki kujua ni nani aliyempa mimba na anakaa na nani kwa sasa, ila tu leo kama zari nimemtongoza mdada mmoja hivi mwenye mimba, kwa kuangalia inaweza kuwa na miezi tano au sita hivi maana ni kubwa kubwa kiasi, Alikuwa anapita pita hapa kiwandani kwangu na kujibebisha bebisha na kimimba chake.

Leo mchana hivi nikatest zari katiki, nimempanga panga hapa leo hii nataka nikaunganishe viungo vyangu vya uzazi na vyake, ana noma kashaeleweka.

Hapa niko na mzuka natamani muda ufike mapema nikachakate wanakuwaga na kijoto flani hivi amaizing,
Na hii baridi ngoja tu nikamkazie kazie mtoto akomae vizuri.


Cc Zero IQ.
 
Mchakata vipochi manyoya, kule Mzee wa kula kimasihara, Deep Pond naye muhamasishaji Michepuko daaah kweli Ke wa ki-TZ watapona [emoji848][emoji849]

Hivi KIDUKU LILO alipotelea wapi na BIA YETU walipotelea wapi lakini hadi JF ipooze namna hii?
 
Mchakata vipochi manyoya, kule Mzee wa kula kimasihara, Deep Pond naye muhamasishaji Michepuko daaah kweli Ke wa ki-TZ watapona [emoji848][emoji849]

Hivi KIDUKU LILO alipotelea wapi na BIA YETU walipotelea wapi lakini hadi JF ipooze namna hii?
Watapona tu mkuu
 
Duu umenikumbusha jana. Mkuu wangu wa kazi(si unajua hiz kaz za watu) jana anataka tumsaidie kumshangaa kijana mmoja.Kijana huyo alimtongoza wakati huo yeye anaKIBUNDA kikubwa tena cha kuonekana hata kwa wale wenye tatizo la kuona mbali.Si tuliishia kumwambia amsaidie kijana,labda yupo field anachunguza kitu!
 
Mida ndio hii mzee baba kaongezee viungo vya huyo mtoto mtarajiwa
Nalog off Z
 
Sitaki kujua ni nani aliyempa mimba na anakaa na nani kwa sasa, ila tu leo kama zari nimemtongoza mdada mmoja hivi mwenye mimba, kwa kuangalia inaweza kuwa na miezi tano au sita hivi maana ni kubwa kubwa kiasi, Alikuwa anapita pita hapa kiwandani kwangu na kujibebisha bebisha na kimimba chake.

Leo mchana hivi nikatest zari katiki, nimempanga panga hapa leo hii nataka nikaunganishe viungo vyangu vya uzazi na vyake, ana noma kashaeleweka.

Hapa niko na mzuka natamani muda ufike mapema nikachakate wanakuwaga na kijoto flani hivi amaizing,
Na hii baridi ngoja tu nikamkazie kazie mtoto akomae vizuri.


Cc Zero IQ.
Idiot
 
Sitaki kujua ni nani aliyempa mimba na anakaa na nani kwa sasa, ila tu leo kama zari nimemtongoza mdada mmoja hivi mwenye mimba, kwa kuangalia inaweza kuwa na miezi tano au sita hivi maana ni kubwa kubwa kiasi, Alikuwa anapita pita hapa kiwandani kwangu na kujibebisha bebisha na kimimba chake.

Leo mchana hivi nikatest zari katiki, nimempanga panga hapa leo hii nataka nikaunganishe viungo vyangu vya uzazi na vyake, ana noma kashaeleweka.

Hapa niko na mzuka natamani muda ufike mapema nikachakate wanakuwaga na kijoto flani hivi amaizing,
Na hii baridi ngoja tu nikamkazie kazie mtoto akomae vizuri.


Cc Zero IQ.
Sawa lakini ujue na mkeo pia akiwa na mimba ataliwa hivyohivyo
 
Back
Top Bottom