Nimemuacha mkurya rasmi

Saa hii mwanume ni bonge la dili. Yani kila kukicha wa kike wanatafuta mbinu za kujilahisi. Na bado mzee wewe unasema mume hajazaliwa? Imekula kwako
 
Mkurya kashakukoroga unataka nani ale matapishi yake? wewe kuwa sister tu na achana na biashara ya kuwalisha watu matapishi ya mkurya...

 
Ha ha ha ha kumbe ye ndo mwenye matatizo bana,,hongera Bamukunda
 
Last edited by a moderator:
Mmmh huyo mkurya ndo yule HB wako wa kiislam ama??
 
Still ANA HAKI YA KUPOST CHOCHOTE AFU HAJATUMA KADI ZA MUALIKO! Kama mmemjua fake mngempotezea tu!
 
Mmmh kama wewe ndo tatizo
Jitahid kubadilika kwenye penzi lipwa utakalokuja kuanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…