Nimemuacha mume wangu kwa ajili yake yeye hajali kanitelekezea watoto wake!

Nimemuacha mume wangu kwa ajili yake yeye hajali kanitelekezea watoto wake!

Nimemuacha Mume wangu kwaajili yake yeye hajali kanitelekezea watoto wake!

Hapa ofisini kuna kaka mmoja ni mwalimu mwenzangu. Wakati naajiriwa alinikaribisha vizuri sana kiasi kwamba alihangaika kunitafutia nyumba, na kipindi hicho nilikuwa na changamoto kidogo ya kipato hivyo alinikopesha ila baadaye akaniambia hapana, hakuna haja ya kulipa. Basi tukawa marafiki, anakuja kwangu mara kwa mara, nampikia, mara nyingi analeta kila kitu mimi sitoi hela yangu.

Mimi nimeolewa, tangu kumaliza chuo mwaka 2016 nilikuwa sijaajiriwa mpaka mwaka juzi ndio nilipata hii kazi na kupangiwa mkoani mbali na mume wangu. Mume wangu anahudumia vizuri tu, alikuwa ananijali ila kipindi nahama kuna pesa alinipa nikafanyia mambo mengine hivyo nikashindwa kumuomba tena.

Baada ya kuanza kupata mshahara, mume wangu aliacha kunihudumia kwa sababu watoto walikuwa kwake kwani walikuwa shuleni, hivyo tulipanga nikishaweka vizuri huku ndio tutawahamisha. Aliacha kunitumia pesa na mimi sikumuomba kwa sababu kipato chake si kikubwa ukiangalia chakula na kulipia ada watoto 3, niliona si sawa kumwambia wakati nina mshahara.

Lakini kama unavyojua wanawake, ukipata mwanaume anakujali unachanganyikiwa, nilikuwa namuonea wivu mke wa huyu kaka kwa sababu nilikuwa nawaza jinsi anavyonijali hivi, sijui mke wake anamfanyia nini. Yeye ana pikipiki hivyo alikuwa ananibeba kila siku, anakuja kunichukua nyumbani, yani mpaka ikafika kipindi mke wake akajua kuwa niko na mwanaume wake. Aliponiuliza nilimtukana sana na akatishia kumtafuta mume wangu nikamwambia amtafute tun a namba nakutumia, kwakiburi nilimtumia namba ya mume wangu kwani nilikua sijali, nilijua kama utani ila aliscreenshot meseji na picha nilizokuwa natumiana na mume wake, akamtumia mume wangu.

Mume wangu alipogundua aliniuliza, nilijua kabisa kama huyu mwanaume ananipenda na atamuacha mke wake na kunioa mimi, nilimuambia wazi kuwa kama anataka kuniacha aniache ili aache kunifuatilia. Alinitumia talaka huko huko na mimi sikujali, niliishia kumtukana mpaka eda ikaisha sikuomba msamaha.

Mwanaume alipojua kuwa mke wake kamtafuta mume wangu, aligombana sana na mke wake, alim*piga mpaka mwanamke akaondoka na kumwachia watoto wawili. Mimi nilizidi kufurahi kwa sababu niliona kabisa nimeachiwa mume. Kwa kuwa wote tunaishi nyumba za kupangisha, mimi nilirudisha nyumba na kuhama kwake kwa sababu yeye nyumba yake ni kubwa, na alikuwa anaishi na watoto wake wawili.

Nina miezi 3 sasa naishi hapa kwake lakini mwanaume kabadilika. Hanihudumii kwa chochote, naishi na watoto wake tena mmoja ni mgonjwa kila siku hospitalini lakini mwanaume hata mia hatoi. Yale mapenzi aliyokuwa ananipa hayapo tena, kibaya zaidi nina mimba yake nakaribia kujifungua lakini mwanaume hata mia ya kujifungulia hatoi.

Naomba ushauri nifanye nini, nimempigia simu mke wake aje kuchukua watoto wake hajajibu chochote, zaidi ya kucheka tena kwa dharau. Ninatamani kuhama hata hapa lakini sijui nifanyaje, nimeharibu ndoa yangu na yeye hata hajali, ndio kwanza kurudi nyumbani ni asubuhi!

Msaada!!
Ujembe huu watumie wanawake wote duniani wasio na akili
...zingatia neno "wasio ma akili"
 
Nimemuacha Mume wangu kwaajili yake yeye hajali kanitelekezea watoto wake!

Hapa ofisini kuna kaka mmoja ni mwalimu mwenzangu. Wakati naajiriwa alinikaribisha vizuri sana kiasi kwamba alihangaika kunitafutia nyumba, na kipindi hicho nilikuwa na changamoto kidogo ya kipato hivyo alinikopesha ila baadaye akaniambia hapana, hakuna haja ya kulipa. Basi tukawa marafiki, anakuja kwangu mara kwa mara, nampikia, mara nyingi analeta kila kitu mimi sitoi hela yangu.

Mimi nimeolewa, tangu kumaliza chuo mwaka 2016 nilikuwa sijaajiriwa mpaka mwaka juzi ndio nilipata hii kazi na kupangiwa mkoani mbali na mume wangu. Mume wangu anahudumia vizuri tu, alikuwa ananijali ila kipindi nahama kuna pesa alinipa nikafanyia mambo mengine hivyo nikashindwa kumuomba tena.

Baada ya kuanza kupata mshahara, mume wangu aliacha kunihudumia kwa sababu watoto walikuwa kwake kwani walikuwa shuleni, hivyo tulipanga nikishaweka vizuri huku ndio tutawahamisha. Aliacha kunitumia pesa na mimi sikumuomba kwa sababu kipato chake si kikubwa ukiangalia chakula na kulipia ada watoto 3, niliona si sawa kumwambia wakati nina mshahara.

Lakini kama unavyojua wanawake, ukipata mwanaume anakujali unachanganyikiwa, nilikuwa namuonea wivu mke wa huyu kaka kwa sababu nilikuwa nawaza jinsi anavyonijali hivi, sijui mke wake anamfanyia nini. Yeye ana pikipiki hivyo alikuwa ananibeba kila siku, anakuja kunichukua nyumbani, yani mpaka ikafika kipindi mke wake akajua kuwa niko na mwanaume wake. Aliponiuliza nilimtukana sana na akatishia kumtafuta mume wangu nikamwambia amtafute tun a namba nakutumia, kwakiburi nilimtumia namba ya mume wangu kwani nilikua sijali, nilijua kama utani ila aliscreenshot meseji na picha nilizokuwa natumiana na mume wake, akamtumia mume wangu.

Mume wangu alipogundua aliniuliza, nilijua kabisa kama huyu mwanaume ananipenda na atamuacha mke wake na kunioa mimi, nilimuambia wazi kuwa kama anataka kuniacha aniache ili aache kunifuatilia. Alinitumia talaka huko huko na mimi sikujali, niliishia kumtukana mpaka eda ikaisha sikuomba msamaha.

Mwanaume alipojua kuwa mke wake kamtafuta mume wangu, aligombana sana na mke wake, alim*piga mpaka mwanamke akaondoka na kumwachia watoto wawili. Mimi nilizidi kufurahi kwa sababu niliona kabisa nimeachiwa mume. Kwa kuwa wote tunaishi nyumba za kupangisha, mimi nilirudisha nyumba na kuhama kwake kwa sababu yeye nyumba yake ni kubwa, na alikuwa anaishi na watoto wake wawili.

Nina miezi 3 sasa naishi hapa kwake lakini mwanaume kabadilika. Hanihudumii kwa chochote, naishi na watoto wake tena mmoja ni mgonjwa kila siku hospitalini lakini mwanaume hata mia hatoi. Yale mapenzi aliyokuwa ananipa hayapo tena, kibaya zaidi nina mimba yake nakaribia kujifungua lakini mwanaume hata mia ya kujifungulia hatoi.

Naomba ushauri nifanye nini, nimempigia simu mke wake aje kuchukua watoto wake hajajibu chochote, zaidi ya kucheka tena kwa dharau. Ninatamani kuhama hata hapa lakini sijui nifanyaje, nimeharibu ndoa yangu na yeye hata hajali, ndio kwanza kurudi nyumbani ni asubuhi!

Msaada!!
We we sio mzima
 
Ujumbe wangu Kwa Wanawake, Mwanaume yoyote ni Mwema akiwa hajakukula, akishakukula tu mpe miezi michache.

Ule Upendo, kule kujari, hakupo tena...!

Hakuna Cha ajabu kwenye hii story ambacho Mwanamke hawezi kufanya...!

Wote tulisoma habari juzi hapa Mwalimu huko Morogoro aliyeuwawa na Mke wake mwenyewe Kwa kushirikiana na mchepuko wa Mkewe ambaye ambaye ni bodaboda, na Tena wamezaa Watoto, kama hili lilitokea, ni Nini Cha ajabu kwenye hii story.....!

Wanawake yote mnayotaka toka Kwa Mwanaume hakuna Mwanaume chini ya Jua anayeweza kukutimizia....!

Ushauri wangu Kwa Wanaume...!

Ogopa Sana Wanawake wenye Muonekano na Sura kama Midori...!
-Wanapenda kudekezwa hata kama wao ndo wakosefu.
-Wanapenda uwajari wao tu.
-Wanataka full time 24/7 uwe Romantic.
- Wanapenda kuambiwa maneno Matamu muda wote hata kama ni uongo.
-Wanapenda kutumiwa messages muda wote kila siku, bila kusahau zile messages za "Babe usichelewe kula utapata vidonda vya Tumbo"

Wapo tayari kuvitafuta hivyo tu huko nje tena Kwa muda tu wakiamini vitapatikana siku zote.

Wako Wanawake wengi wenye Muonekano wa kawaida, mkishafunga Ndoa, Mkazaa Watoto..... Kama unahudumia familia Vizuri, unasomesha Watoto, mahitaji yote Muhimu yapo Nyumbani, haumizwi kichwa na issue za kusema Kwa Nini siku nzima hunitumii message kuuliza kama nimekula, haumizwi kichwa na habari ya Mumewe kurudi saa 4 ama saa 6 usiku....!
Na Hawa ndo Ndoa zao nyingi zipo salama....!

Maisha ni kupanga na kuchagua.
Bahati Mbaya Wanaume tumeumbwa na Silka aina Moja, ukitukoroga... HATUJARI TENA, hata uwe ni Mtoto wa MAMA SAMIA, HATUJARI...!
 
Mwandiko wa kiume huu


Acha ushoga dogo.
 
Walimu mkipata KAZI ni KAZI pia ya kufanyana ovyo tu.
All the best
 
Nimemuacha Mume wangu kwaajili yake yeye hajali kanitelekezea watoto wake!

Hapa ofisini kuna kaka mmoja ni mwalimu mwenzangu. Wakati naajiriwa alinikaribisha vizuri sana kiasi kwamba alihangaika kunitafutia nyumba, na kipindi hicho nilikuwa na changamoto kidogo ya kipato hivyo alinikopesha ila baadaye akaniambia hapana, hakuna haja ya kulipa. Basi tukawa marafiki, anakuja kwangu mara kwa mara, nampikia, mara nyingi analeta kila kitu mimi sitoi hela yangu.

Mimi nimeolewa, tangu kumaliza chuo mwaka 2016 nilikuwa sijaajiriwa mpaka mwaka juzi ndio nilipata hii kazi na kupangiwa mkoani mbali na mume wangu. Mume wangu anahudumia vizuri tu, alikuwa ananijali ila kipindi nahama kuna pesa alinipa nikafanyia mambo mengine hivyo nikashindwa kumuomba tena.

Baada ya kuanza kupata mshahara, mume wangu aliacha kunihudumia kwa sababu watoto walikuwa kwake kwani walikuwa shuleni, hivyo tulipanga nikishaweka vizuri huku ndio tutawahamisha. Aliacha kunitumia pesa na mimi sikumuomba kwa sababu kipato chake si kikubwa ukiangalia chakula na kulipia ada watoto 3, niliona si sawa kumwambia wakati nina mshahara.

Lakini kama unavyojua wanawake, ukipata mwanaume anakujali unachanganyikiwa, nilikuwa namuonea wivu mke wa huyu kaka kwa sababu nilikuwa nawaza jinsi anavyonijali hivi, sijui mke wake anamfanyia nini. Yeye ana pikipiki hivyo alikuwa ananibeba kila siku, anakuja kunichukua nyumbani, yani mpaka ikafika kipindi mke wake akajua kuwa niko na mwanaume wake. Aliponiuliza nilimtukana sana na akatishia kumtafuta mume wangu nikamwambia amtafute tun a namba nakutumia, kwakiburi nilimtumia namba ya mume wangu kwani nilikua sijali, nilijua kama utani ila aliscreenshot meseji na picha nilizokuwa natumiana na mume wake, akamtumia mume wangu.

Mume wangu alipogundua aliniuliza, nilijua kabisa kama huyu mwanaume ananipenda na atamuacha mke wake na kunioa mimi, nilimuambia wazi kuwa kama anataka kuniacha aniache ili aache kunifuatilia. Alinitumia talaka huko huko na mimi sikujali, niliishia kumtukana mpaka eda ikaisha sikuomba msamaha.

Mwanaume alipojua kuwa mke wake kamtafuta mume wangu, aligombana sana na mke wake, alim*piga mpaka mwanamke akaondoka na kumwachia watoto wawili. Mimi nilizidi kufurahi kwa sababu niliona kabisa nimeachiwa mume. Kwa kuwa wote tunaishi nyumba za kupangisha, mimi nilirudisha nyumba na kuhama kwake kwa sababu yeye nyumba yake ni kubwa, na alikuwa anaishi na watoto wake wawili.

Nina miezi 3 sasa naishi hapa kwake lakini mwanaume kabadilika. Hanihudumii kwa chochote, naishi na watoto wake tena mmoja ni mgonjwa kila siku hospitalini lakini mwanaume hata mia hatoi. Yale mapenzi aliyokuwa ananipa hayapo tena, kibaya zaidi nina mimba yake nakaribia kujifungua lakini mwanaume hata mia ya kujifungulia hatoi.

Naomba ushauri nifanye nini, nimempigia simu mke wake aje kuchukua watoto wake hajajibu chochote, zaidi ya kucheka tena kwa dharau. Ninatamani kuhama hata hapa lakini sijui nifanyaje, nimeharibu ndoa yangu na yeye hata hajali, ndio kwanza kurudi nyumbani ni asubuhi!

Msaada!!
natamani ata iyo mimba ikae humo tumboni miezi 15 na ujifungue kwa operation na itakuwa funzo kwako na kwa wanawake wa kariba yako
Siku zote mwisho wa ubaya aibu
 
Kitendo cha wanandoa kuachanishwa ndipo msiba unapoanzia. Kwenye mapenzi hakuna kitu kinaitwa "kujitambua"! Hata magwiji wa mapenzi waliangushwa, wa kwanza akiwa Adam, kitendo cha kutengana na Hawa kwa mda tu nyoka alipita na Hawa, je Adam hakujitambua?
Hakuna excuse kwenye ku cheat....ukishajijuwa umeoa au kuolewa.....kama changamoto ni distance kaeni muangalie namna ya kuitatua huku mkizishika nafsi zenu.....

Hakuna cheating ya ghafla....wengi wanakuwa wameshapanga na wanatafuta excuse inayofanana na uhalisia ili kufanikisha jambo lake...


Ndoa ni ups and downs.....
 
Hakuna excuse kwenye ku cheat....ukishajijuwa umeoa au kuolewa.....kama changamoto ni distance kaeni muangalie namna ya kuitatua huku mkizishika nafsi zenu.....

Hakuna cheating ya ghafla....wengi wanakuwa wameshapanga na wanatafuta excuse inayofanana na uhalisia ili kufanikisha jambo lake...


Ndoa ni ups and downs.....
Mimi mkristo naamini distance inaweza sababisha mpasuko mkubwa kwenye ndoa. Naamini Adam asingeachana na Hawa kwa mda tu nyoka asingeweza kuwadanganya wakiwa wawili.

So, yeah distance inaweza kuleta madhara makubwa tena sana!!
 
Nimetoka kumuambia mke wangu hao wanaojifanya wanakujali ni kwa sababu bills zako zote nalipa mimi ipo siku nitawaachia jumla ili waone ninachofaidi na utanikumbuka mbwa mkubwa weye.
 
Kama ulizungunza ni kweli basi na bado yani mpk useme

Matendo yko umemzidi shetani

Ivi kuna shetani anachepuka na shetani mwenzake?
 
Nimetoka kumuambia mke wangu hao wanaojifanya wanakujali ni kwa sababu bills zako zote nalipa mimi ipo siku nitawaachia jumla ili waone ninachofaidi na utanikumbuka mbwa mkubwa weye.
Kwani shemeji ameanza tabia za ukorofi mkuu?

Mara nyingi hawaoni thamani yetu hadi tuwape red card ndio akili inawakaa sawa.
 
.
 

Attachments

  • 71A94035-E8EF-43E8-A6DF-838F49FB7D59.gif
    71A94035-E8EF-43E8-A6DF-838F49FB7D59.gif
    1.5 MB · Views: 3
Back
Top Bottom