Nimemuelewa Halima Mdee. Amekubali makosa, anataka maridhiano; yuko tayari kujirudi na kurekebisha mambo chamani mwao

Halima namkubali sana! Nilimpigia kura 2015 na pia mwaka huu ningepata chance kupiga kura ningempa kura yangu. Ila kwa huu usaliti hamna namna afukuzwe tu hamna majadiliano
 
Kwa hiyo Mdee bado anaweza kurudi bungeni pale rais akiamua kumchagua kuwa miongoni mwa watu 10 anaoruhusiwa kuwachagua? au ni lazima watu k10 amaowachagua raisi ni lazima watoke katika chama tawala?

Rais anaweza kuteua yeyote kuwa mbunge ktk zile nafasi zake 10, bila kujali itikadi yoyote. Anaweza hata kuwa mpwa wake kabisa!
 
Ndugai ni hopeless shit
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…