Hapa ndio umehalibu kijanaAcha ufarwa jf nilijiunga toka 2014 lakini nilitumia real name watu wengi mtaani kwangu wanalijua, mwaka huu nikaamua nibadilishe account.
hahaahahahkwa povu hilo hutopata shemeji.
Sio amekuja juzi sema ni ID mpya tu.Yani wewe umekuja juzi tu unasiku 5 ushaanza mapenzi. Patakushinda humu
Hebu ninong'oneze ni nani huyo aiseeYule ni mke wa mtu shaur yako
[emoji23][emoji23][emoji23] jamani mapenzi ni kama maua huota popoteYani wewe umekuja juzi tu unasiku 5 ushaanza mapenzi. Patakushinda humu