Nimemuona mwana jf kitaa

duh, huu mzimu umrudi?
Hadi sehemu zangu zimesinyaa.
 
duh, huu mzimu umrudi?
Hadi sehemu zangu zimesinyaa.

Mimi nilidhani karudi bana, kumbe tu watu wameufufua.... Kongosho pole na kifungo ODM alisinyaa kukosa uwepo wako lol, mzima lakini?
 
asante, nimepoa.

Siendi tena siasa maana kula hata ukiomba ufafanuzi unafungiwa lol.

Mimi nilidhani karudi bana, kumbe tu watu wameufufua.... Kongosho pole na kifungo ODM alisinyaa kukosa uwepo wako lol, mzima lakini?
 
asante, nimepoa.

Siendi tena siasa maana kula hata ukiomba ufafanuzi unafungiwa lol.


hahaha.... Nakumbuka ulisema hutathubutu kukanyaga pale; nahisi mod aliekuona pale alisoma ahadi yako na kuamua kukukomesha! lol.... It is my great belief ulionewa.... Good thing sio Paw aliku ban.... maana nilienda kwa HASIRA akabaki ananishangaa.... hahahaha.....:wink2:
 

Kuna baadhi yetu tuliokuwa tukiamini Konnie hawezi kuingia jukwaa la politiki..
 
sina temper kiasi hicho.
Nadhani niliomba ufafanuzi ambao kiranja hakuupenda. Hata sijui ni kiranja gani alinishika.

Anyway, sijui nani alikuwa sahihi au hakuwa sahihi kikubwa adhabu imeisha na nimerudi.

Niliwamiss sana.
 
Poa Gee Cee
mzima wewe.

Leo kaselula kangu kanasumbua.. Voda inakataa Airtel ndiyo iko slow halafu mnara unaweza kuuona,lakini network hakuna...

Konnie,hebu nijuze pls.. Walau title ya huo uzi uliokulambisha ban,ikiwezekana hadi link yake...

Kingine nachoshangaa,ban ulambwe politiki,sumu ikusambae hadi na majukwaa ya micharuko kama haya?
 
asante, nimepoa.

Siendi tena siasa maana kula hata ukiomba ufafanuzi unafungiwa lol.

Welcome back
Afadhali wamekurudisha, ban ni mbaya sana kisaikolojia, inakutenga na marafiki, wapenzi, wadau na ulimwengu uliouzea kama hapa.
 
*****...kumbe ulikuwa unajaza watu upepo bure!
 
πŸ˜³πŸ˜³πŸ˜³πŸ˜³πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
teh teh teh. Acha kudanganya watu kua wewe matawi ya juuuuu. Acha kututongoza mabinti kwa njia ya kua utatuoa imepitwa na wakati. Acha kuazima usafiri kwa ajili ya kujipaisha.
Masikhara yashafanyika na hii ndo testimony.

Next time usikubali kiwepesi wepesi🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…