Nimemuona mwana jf kitaa

Nimemuona mwana jf kitaa

unless muanzisha mada aseme ni mimi
basi hizo redio mbao tu...

but think about it....gx100 huipati bila milioni 12 na kuendelea
na still mtu anapondwa
si bora to stick na boda boda for godsake? lol

thubutu kukutwa unaandika 100, utalipiwa kifurushi hapo hapo. Mia
 
hajakutana na mushi bado sio? lol
Hapa mbona ni wengi? Kuna Lawrence fishburne, Denzel Washington, Justin Timberlake, Treyz Song (wawili), kina Malcolm X, ML King Jr, Kadafi etc. Sasa umaarufu wa avatar sio hint kubwa kiivo.
Labda wadada wajifungue, waseme nani anawaanza kwa gia za ndoa. lol
 
Hebu nisaidieni jamani... Nimetoka na Mpoleee mimi??

Aisee kuikosa JF 2 days unaweza kuta mambo ya khatari haswaaa

Hii kweli ni 2012

mkuu walikupakazia jana eti ulitoka na mpole hahahaha!
si bora wewe una gx100, mimi hata bodaboda sina, sasa ningeenda na daladala sijui ingekuwaje. (wamekutania tu)
 
mkuu walikupakazia jana eti ulitoka na mpole hahahaha!
si bora wewe una gx100, mimi hata bodaboda sina, sasa ningeenda na daladala sijui ingekuwaje. (wamekutania tu)

Hii kali ya Mwaka....

HAPPY NEW YEAR
 
Ama kweli anayekutwa na ngozi ndo mwizi
Hii habari nimeipata humuhumu ndani

Na watu walikuona umevaa miwani tinted, tena mbinuko
Ila gari ndo uliazima
Hebu nisaidieni jamani... Nimetoka na Mpoleee mimi??

Aisee kuikosa JF 2 days unaweza kuta mambo ya khatari haswaaa

Hii kweli ni 2012
 
mpolee polee,yaani hapa ingekuwa mim ni ww ningefanya siri,ujue huyu mkaka aliyefanikiwa kukutoa home kwako kwa maandishi yake tu hadi ukachoma mafuta ya jipu version 2010 lako kumfuata ndiye alitakiwa aweke thread hapa kuwa baadhi ya kina dada humu ni maharage ya mbeya,yaani kwa maandishi tu unakula mzigo.
Naona aibu utadhan mie ndo wewe.
 
shda sio baiskeli. sina shida na pesa ya mtu ninazo tayari shida una baisikeli waazima gari na kujifanya lako. liv ur lyf.

Ulijuaje kama gari aliazima? Issue ni gari la kuazima au ghadhabu ya kunyonyolewa?
 
Ulijuaje kama gari aliazima? Issue ni gari la kuazima au ghadhabu ya kunyonyolewa?
hilo nalo neno!!!

kaja na gx mia, mwenyewe amempaki mahali anakunywa bia, baadae jamaa anataka gari yake aende kwa manka aka gogo akale ndizi alizopikiwa na apate bia mbili alizowekewa kwenye fridge, anakuja kuchukua gari yake. Then jamaa wakati wa kwenda kunyonyoa anapanda jipu ya mtoto wa fisadi.
 
Bishanga,
njoo umuone huyu hapa
hilo nalo neno!!!

kaja na gx mia, mwenyewe amempaki mahali anakunywa bia, baadae jamaa anataka gari yake aende kwa manka aka gogo akale ndizi alizopikiwa na apate bia mbili alizowekewa kwenye fridge, anakuja kuchukua gari yake. Then jamaa wakati wa kwenda kunyonyoa anapanda jipu ya mtoto wa fisadi.
 
Ama kweli anayekutwa na ngozi ndo mwizi
Hii habari nimeipata humuhumu ndani

Na watu walikuona umevaa miwani tinted, tena mbinuko
Ila gari ndo uliazima
ubarikiwe sana... hiyo ngozi ikaushe uwambe ngoma
 
Kumbe nimepitwa!!! Hadi Eliza wa Tegeta ndani ya nyumba..lol
 
Back
Top Bottom