figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
nitam-draw tu without penseli
duh...!!hahahaaa...!!.basi ajiandae. Mia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nitam-draw tu without penseli
nitam-draw tu without penseli
duh...!!hahahaaa...!!.basi ajiandae. Mia
mbona umejishtukia kaka? ungesema: ikianzishwa kesi ya magari The Boss suspect. au ungesema Ikianzishwa kesi ya PM the boss suspect. mbona umerukia huko kwenye kutongoza?yaani humu ndani ikianzishwa a thread kuhusu mwanaume kutongoza
boss ndo no 1 suspect lol
sasa mimi sina gx 100
natumia boda boda.........haya leteni kesi ingine lol
mbona umejishtukia kaka? ungesema: ikianzishwa kesi ya magari The Boss suspect. au ungesema Ikianzishwa kesi ya PM the boss suspect. mbona umerukia huko kwenye kutongoza?
Umesha jitoa, endelea tu. hata hivo Neema na Jmushi1 wamesha kutaja pianilikuwa sijui hii kesi inahusu nini hasa
kumbe magari ok...
basi hainihusu lol
Umesha jitoa, endelea tu. hata hivo Neema na Jmushi1 wamesha kutaja pia
Lol!Sio The Boss, yeye anatumia bodaboda au bajaj, sikumbuki vizuri. 🙂 (source: The Boss mwenyewe)
Lol!
Kuna source za PM pia ha ha ha!
BTW si kwamba naamini ni The Bawse, ila maelezo ya avatar inayopendwa na mtu maarufu humu inamwangukia Bawse, siajsema ni Bawse tho lo
Umenichekesha mkuu licha ya kwamba umeniita redio mbao!unless muanzisha mada aseme ni mimi
basi hizo redio mbao tu...
but think about it....gx100 huipati bila milioni 12 na kuendelea
na still mtu anapondwa
si bora to stick na boda boda for godsake? lol
teh teh teh. Acha kudanganya watu kua wewe matawi ya juuuuu. Acha kututongoza mabinti kwa njia ya kua utatuoa imepitwa na wakati. Acha kuazima usafiri kwa ajili ya kujipaisha.
Ukimpata usimtaji, wanawake wengine wanaona gari ndio muhimuuuuuuu. waache wategeke hivo hivo. lolLol!
Kuna source za PM pia ha ha ha!
BTW si kwamba naamini ni The Bawse, ila maelezo ya avatar inayopendwa na mtu maarufu humu inamwangukia Bawse, siajsema ni Bawse tho lol
Ila nilitaka nitizame na signature, nimekuta ni ya kizungu, ila bado kidogo...
Umenichekesha mkuu licha ya kwamba umeniita redio mbao!
Unaonekana umeguswa sana mkuu, si kawaida yako...
Kwa alivyoelezea avatar naweza sema namjua mhusika, ila nna uhakika hajakutana nae labda PM haikujibiwa.Lol!
Kuna source za PM pia ha ha ha!
BTW si kwamba naamini ni The Bawse, ila maelezo ya avatar inayopendwa na mtu maarufu humu inamwangukia Bawse, siajsema ni Bawse tho lol
Ila nilitaka nitizame na signature, nimekuta ni ya kizungu, ila bado kidogo...
Bonge la analysis !!!Kumbe issue hapa ni vitu vitatu tu:
1. Style ya utongozaji;
2. Aina ya usafiri, na
3. Usafiri wa kuazima.
Mkuu kumbe njia nyeupe kwako kama hayo hapo juu yakitimizwa. No terms, No conditions!
Ok mkuu miye ngoja nijisomee tu, nadhani pia ni kama "Changamsha genge" tu.i know......usijali......lol
Kwa alivyoelezea avatar naweza sema namjua mhusika, ila nna uhakika hajakutana nae labda PM haikujibiwa.
Ok mkuu miye ngoja nijisomee tu, nadhani pia ni kama "Changamsha genge" tu.
Kwasababu huyo member ni lazima angejitokeza, unless na yeye anaamini kuwa gx lake halina mpango.
Kwasababu la kuazima halina ushahidi zaidi ya alivyyonekana kama dereva badala ya mwenye gari.
Ningekuwa mimi ningejitokeza tu na kujitetea maana sioni big deal wala nini.
No wonder fitty alikuja na 21 questions licha ya mipesa aliyonayo!lol