Nimemuona mwana jf kitaa

Nimemuona mwana jf kitaa

Aisee! Hivi una hakika wanawake wa humu sio makini? Wana vifua vya kuhifadhia siri mpendwa, kila mtu akiamua kuja hapa na kusema katongozwa na nani na lini wala hapatatosha kabisa. ?

hahahahaha! Swahiba hapatatosha kabisaaaaaa.
 
teh teh teh. Acha kudanganya watu kua wewe matawi ya juuuuu. Acha kututongoza mabinti kwa njia ya kua utatuoa imepitwa na wakati. Acha kuazima usafiri kwa ajili ya kujipaisha.

Ndo un aingia majority age?
 
God! Kumbe kisha tembea na jamaa? I hope she had reached walau Climax na hakuchafuliwa tu.... Dah!
ahahaaa siamini kama hayo yametoka kwako loh ila ilo nalo neno.ngoja niingie jikoni mie
 
Lol, heri ya mwaka mpya my lovely swahiba...

Swahiba watu wengine walikimbia unyago ati, mwanamke asiye na staha wa nini bana...

ahsante swahiba, nafurahi umeuona mwaka. Swahiba inabidi kuwa na darasa la jando na unyago. Lol.
 
Lahawla wallah quatah!
Nini hii?
Astaghafirulah!! Maajab haya Mwali wangu... Masomo wenu tuna kazi sana siku hizi, twawafunda hata hamfundiki, mtarudi ndani muanze kuokota mizungu upya.

Mie memiss wewe mnoooo!
 
Astaghafirulah!! Maajab haya Mwali wangu... Masomo wenu tuna kazi sana siku hizi, twawafunda hata hamfundiki, mtarudi ndani muanze kuokota mizungu upya.
Mie memiss wewe mnoooo!
Usichoke somo, sio wote tuko hivo. Wengine tuko kama ulivo tufunda, wapoleeeeeee
Ila wengine tena, tofauti na jina zao wanakua wazi sana na mambo yao, na wako open minded zaidi
(just watch out, ikiwa too open the brain falls out)
Vipi deskmate, mbona unamfungia sana, tunammiss darasani
 
ahsante swahiba, nafurahi umeuona mwaka. Swahiba inabidi kuwa na darasa la jando na unyago. Lol.
Umeonae swahiba eeh??? Ngoja niongee na my wifi a.k.a your aunt AshaDii aanzishe darasa hapa. Kungwi atakuwa mamkwe wako a.k.a mke mwenzangu King'asti...lol
 
Usichoke somo, sio wote tuko hivo. Wengine tuko kama ulivo tufunda, wapoleeeeeee
Ila wengine tena, tofauti na jina zao wanakua wazi sana na mambo yao, na wako open minded zaidi
(just watch out, ikiwa too open the brain falls out)
Vipi deskmate, mbona unamfungia sana, tunammiss darasani
Hahaha! Deskmate atakuja siku sio nyingi, tulienda vekesheni huko migombani, mie nimeingia jana yeye ataingia leo mda wowote.. Endelea kumwombea ruhusa kwa mwalimu wenu wa darasa.
 
SweetLady... Husninyo.... Mwali... Smiles.... Mje nyumbani leo tutaongea vizuri.... Ngoja nitoke kidogo nikampikie Mupenzi... na salamu zenu zitafika.... Nitakuja tu kuchukua Feed bak hapa.....lol:biggrin:

Alafu mumuambie King' ana case ya kujibu!
 
Hahahahahaha! Lol!
Hiyo mibhange tunayovuta ni stimu za kulanduka, kama sio yako fani hakika utadatika!
Wapi BAK, weka hii makitu plz!
itakayo kupatia stimu...kama huwezi utaumbuka...wimbo Juma Nature..
 
Hahaha! Deskmate atakuja siku sio nyingi, tulienda vekesheni huko migombani, mie nimeingia jana yeye ataingia leo mda wowote.. Endelea kumwombea ruhusa kwa mwalimu wenu wa darasa.
No wasiwasi, nilimwambia mwalimu kua anaumwa, class ziko saspendedi hadi atakapo kuja.

SweetLady... Husninyo.... Mwali... Smiles.... Mje nyumbani leo tutaongea vizuri.... Ngoja nitoke kidogo nikampikie Mupenzi... na salamu zenu zitafika.... Nitakuja tu kuchukua Feed bak hapa.....lol:biggrin:
Alafu mumuambie King' ana case ya kujibu!
Haya, naomba basi uniachie kiti chako, maana nataka nirudi kwanza pages za mwanzo nisome nielewe... nimesoma tu post ya kwanza ya thread, ndio nikatoa mshangao hapo juu.
Labda nikisoma nitaelewa vizuri.
 
Back
Top Bottom