Nimemuona mwizi mahali ninapoishi

Nimemuona mwizi mahali ninapoishi

Faru01

Member
Joined
Jun 29, 2022
Posts
32
Reaction score
125
Wakuu kwema? Ngoja niwape stori halafu mnishauri.

Nyumba niliyopanga ina vyumba 7 na wapangaj 6 cha saba ni Maza house na mume. Sasa jana nilikuwa nimechill chumbani kwangu nimelala mchana na palikuwa hakuna mtu hata mmoja, nikaamka nikajisaidie ile natoka chumbani kwangu nikamuona jamaa (yeye ana chumba chake) anatoka chumbani kwa mwingine ambaye ni mdada na alikuwa hayupo kasafiri.

Leo huyo dada karudi kakuta kaibiwa sabufa na godoro.

Je, niseme nilimuona huyu jamaa anatoka chumbani kwake au nikaushe nisionekane snichi mazee. Nishaurini kabla sijafungua mdomo wangu😁.
 
Ukiona mwenzio kanyolewa… jiandae huyo atawaibia wote kila mmoja kwa wakati wake.

Kwa kuwa mnaishi na wenye nyumba ongea na baba mwenye nyumba umpe hiyo taarifa ashughulikie naye (mwizi) mapema.
 
Jifanye mtaalamu wa ramli, piga manyanga kidogo alafu mpointi jamaa mwambie yeye ndio kaiba, arudishe kabla hujamuumbua na mengine aliyoyafanya.

Alafu unaondoka kuendelea na safari zakoo. Utapata na wateja hapo hapo Mkuu unakuwa na kabiashara huria tayari.
 
Wakuu kwema? Ngoja niwape stori halafu mnishauri.

Nyumba niliyopanga ina vyumba 7 na wapangaj 6 cha saba ni Maza house na mume. Sasa jana nilikuwa nimechill chumbani kwangu nimelala mchana na palikuwa hakuna mtu hata mmoja, nikaamka nikakojisaidie ile natoka chumbani kwangu nikamuona jamaa (yeye ana chumba chake) anatoka chumbani kwa mwingine ambaye ni mdada na alikuwa hayupo kasafiri.

Leo huyo dada karudi kakuta kaibiwa sabufa na godoro.

Je, niseme nilimuona huyu jamaa anatoka chumbani kwake au nikaushe nisionekane snichi mazee. Nishaurini kabla sijafungua mdomo wangu😁.
Duh
 
Wakuu kwema? Ngoja niwape stori halafu mnishauri.

Nyumba niliyopanga ina vyumba 7 na wapangaj 6 cha saba ni Maza house na mume. Sasa jana nilikuwa nimechill chumbani kwangu nimelala mchana na palikuwa hakuna mtu hata mmoja, nikaamka nikakojisaidie ile natoka chumbani kwangu nikamuona jamaa (yeye ana chumba chake) anatoka chumbani kwa mwingine ambaye ni mdada na alikuwa hayupo kasafiri.

Leo huyo dada karudi kakuta kaibiwa sabufa na godoro.

Je, niseme nilimuona huyu jamaa anatoka chumbani kwake au nikaushe nisionekane snichi mazee. Nishaurini kabla sijafungua mdomo wangu😁.
Au dada ajifanye ana majini
 
Ukiona mwenzio kanyolewa… jiandae huyo atawaibia wote kila mmoja kwa wakati wake.

Kwa kuwa mnaishi na wenye nyumba ongea na baba mwenye nyumba umpe hiyo taarifa ashughulikie naye (mwizi) mapema.
😏😏😏😏😏
 
Jamaa naye alikuona akiwa kwenye hiyo mission yake?

Mahusiano yako na huyo dada ndiyo yaamue kutia pua au kupotezea.

Zaidi ni kuwa makini kabla hajawapiga wote.
 
Back
Top Bottom