Inauma hii kwenye maneno tu je ukienda kunyanduliwa huko aiseee.na vijana wanajituma hasa wanapiga Hadi deki...Ila mwisho wa siku n kutengana...mme Mara moja kwa mwaka Ni fureshi kuchepuka..Ila sio mwanamkeSawa, ila sitoacha jambo lipite.
Wewe unadhani mimi huko sitongozwi na tuvijana vi-handsome? Na mimi nitakuletea uzoefu.
Ukifanya hivyo ule uwezo wa kuona wachawi utapotea Mana utakuwa unamchafua roho mtakatifu...mmeo akichepuka wewe kimbilia madhabaahuni.Dah na Mimi ningekukomosha kabla ya kunipiga hayo matukio mkuu. Mie mtu akinifanyia ukorofi ajiandae kwa vitu vyovyote aisee
Sentes ya MWISHO hiyo kunywa pepsiNdicho nilichopanga mkuu. Tumetoka mbali na my husbandhuu mchepuko wala sina time nao maana kwanza najiamini kwa kila idara so hata kama ameamua kuchepuka ni vile ubinadamu tuu na nature vimemfosi. Nataka nikazane kumuombea tuu asije pata madhara
Maisha Ni vitaHuu ndo uwanamke sasa hiyo ndo maana ya kuwa Mama mwenye nyumba. Well done[emoji1547]mtumie msg huyo omba omba kwenye simu ya Mr mwambie sina pesa ya kukupa halafu piga block moja takatifu.
UshamwambiaKatika kagua kagua simu nimekutana na msg ya mchepuko anakumbushia ile biashara aliyoambiwa aaangalie kama itafaa afunguliwe biashara tayari mbona kama mume amenyamaza? Jibu la mume ni kwamba "Tutaongea mama".
Nilipata ka mshtuko na ka hasira kidogo lakini baadae nikaingiwa na huruma sana nikimuangalia mume wangu.
He is so good kwetu mimi na watoto yaani hakuna kitu tuombe asitimize. Ila huruma imenijia kwa sbb ana majukumu mazito mbele yake kwa sasa na huyu mchepuko hajui anawaza hela ya biashara.
Na kuhusu kumwambia nimepanga nimwambie yeye aendelee na mambo yake hela ni zake bwana ila chonde chonde asiniletee magonjwa as kwangu mimi nimetulia na najiamini kwa asilimia 100.
Na kupambana eti na mchepuko sijui kupambana na mume siwezi kisasi ni cha Mungu. Halafu kwa nature ya wanaume walivyo ntagombana na wangapi. Au mnasemaje wadau?
Mie ninamuonea sana huruma maskini unakuta anawaza familia kumbe kuna ka mchepuko kanampa stress tena naogopa kasije kakamroga akatusahau, Nifanyeje?
wacha weeeInauma hii kwenye maneno tu je ukienda kunyanduliwa huko aiseee.na vijana wanajituma hasa wanapiga Hadi deki...Ila mwisho wa siku n kutengana...mme Mara moja kwa mwaka Ni fureshi kuchepuka..Ila sio mwanamke
Wafukua makaburi [emoji16][emoji23][emoji23]Ushamwambia
Ungeliamsha Dude Kama Wakati Ule Gwajima vs BashiteHalooo, unamuonea huruma??
Ningekuwa mimi kwenye hiyo nafasi yako sijui ingekuwaje yaani. Vile ningeliamsha dudeee.
NakaziaHiyo tabia inakubalika kwa wanaume tu. Kwa mwanamke ukibainika unachepuka unaachwa hapohapo
π€£π€£Sanamu lako lijengwe juu kwenye daraja la Mfugale haraka sana.
Nitatoa nondo mbili
Mchepuko wa shemeji nampa pole sana.Katika kagua kagua simu nimekutana na msg ya mchepuko anakumbushia ile biashara aliyoambiwa aaangalie kama itafaa afunguliwe biashara tayari mbona kama mume amenyamaza? Jibu la mume ni kwamba "Tutaongea mama".
Nilipata ka mshtuko na ka hasira kidogo lakini baadae nikaingiwa na huruma sana nikimuangalia mume wangu.
He is so good kwetu mimi na watoto yaani hakuna kitu tuombe asitimize. Ila huruma imenijia kwa sbb ana majukumu mazito mbele yake kwa sasa na huyu mchepuko hajui anawaza hela ya biashara.
Na kuhusu kumwambia nimepanga nimwambie yeye aendelee na mambo yake hela ni zake bwana ila chonde chonde asiniletee magonjwa as kwangu mimi nimetulia na najiamini kwa asilimia 100.
Na kupambana eti na mchepuko sijui kupambana na mume siwezi kisasi ni cha Mungu. Halafu kwa nature ya wanaume walivyo ntagombana na wangapi. Au mnasemaje wadau?
Mie ninamuonea sana huruma maskini unakuta anawaza familia kumbe kuna ka mchepuko kanampa stress tena naogopa kasije kakamroga akatusahau, Nifanyeje?
KabisaWanawake kama wewe mpo wachache sana ila acha tabia ya kuchunguza simu ya mmeo maana huna jeuri ya kumuacha
ππ€ Unakuwa na tabia za wanaume wanavyochagua maneno na jinsi ya kuyaelezaMwandiko wa kiume unakua na herufi gani?