Nimemuonea huruma mume wangu baada ya kukagua simu yake

Nimemuonea huruma mume wangu baada ya kukagua simu yake

Status
Not open for further replies.
Sawa, ila sitoacha jambo lipite.
Wewe unadhani mimi huko sitongozwi na tuvijana vi-handsome? Na mimi nitakuletea uzoefu.
Inauma hii kwenye maneno tu je ukienda kunyanduliwa huko aiseee.na vijana wanajituma hasa wanapiga Hadi deki...Ila mwisho wa siku n kutengana...mme Mara moja kwa mwaka Ni fureshi kuchepuka..Ila sio mwanamke
 
Dah na Mimi ningekukomosha kabla ya kunipiga hayo matukio mkuu. Mie mtu akinifanyia ukorofi ajiandae kwa vitu vyovyote aisee
Ukifanya hivyo ule uwezo wa kuona wachawi utapotea Mana utakuwa unamchafua roho mtakatifu...mmeo akichepuka wewe kimbilia madhabaahuni.
 
Ndicho nilichopanga mkuu. Tumetoka mbali na my husbandhuu mchepuko wala sina time nao maana kwanza najiamini kwa kila idara so hata kama ameamua kuchepuka ni vile ubinadamu tuu na nature vimemfosi. Nataka nikazane kumuombea tuu asije pata madhara
Sentes ya MWISHO hiyo kunywa pepsi
 
Huu ndo uwanamke sasa hiyo ndo maana ya kuwa Mama mwenye nyumba. Well done[emoji1547]mtumie msg huyo omba omba kwenye simu ya Mr mwambie sina pesa ya kukupa halafu piga block moja takatifu.
Maisha Ni vita
 
Katika kagua kagua simu nimekutana na msg ya mchepuko anakumbushia ile biashara aliyoambiwa aaangalie kama itafaa afunguliwe biashara tayari mbona kama mume amenyamaza? Jibu la mume ni kwamba "Tutaongea mama".

Nilipata ka mshtuko na ka hasira kidogo lakini baadae nikaingiwa na huruma sana nikimuangalia mume wangu.

He is so good kwetu mimi na watoto yaani hakuna kitu tuombe asitimize. Ila huruma imenijia kwa sbb ana majukumu mazito mbele yake kwa sasa na huyu mchepuko hajui anawaza hela ya biashara.

Na kuhusu kumwambia nimepanga nimwambie yeye aendelee na mambo yake hela ni zake bwana ila chonde chonde asiniletee magonjwa as kwangu mimi nimetulia na najiamini kwa asilimia 100.

Na kupambana eti na mchepuko sijui kupambana na mume siwezi kisasi ni cha Mungu. Halafu kwa nature ya wanaume walivyo ntagombana na wangapi. Au mnasemaje wadau?

Mie ninamuonea sana huruma maskini unakuta anawaza familia kumbe kuna ka mchepuko kanampa stress tena naogopa kasije kakamroga akatusahau, Nifanyeje?
Ushamwambia
 
Inauma hii kwenye maneno tu je ukienda kunyanduliwa huko aiseee.na vijana wanajituma hasa wanapiga Hadi deki...Ila mwisho wa siku n kutengana...mme Mara moja kwa mwaka Ni fureshi kuchepuka..Ila sio mwanamke
wacha weee
 
Halooo, unamuonea huruma??
Ningekuwa mimi kwenye hiyo nafasi yako sijui ingekuwaje yaani. Vile ningeliamsha dudeee.
Ungeliamsha Dude Kama Wakati Ule Gwajima vs Bashite

Tunawahi Church Kwa Gwajiboy Kusikia Vijembe
 
Katika kagua kagua simu nimekutana na msg ya mchepuko anakumbushia ile biashara aliyoambiwa aaangalie kama itafaa afunguliwe biashara tayari mbona kama mume amenyamaza? Jibu la mume ni kwamba "Tutaongea mama".

Nilipata ka mshtuko na ka hasira kidogo lakini baadae nikaingiwa na huruma sana nikimuangalia mume wangu.

He is so good kwetu mimi na watoto yaani hakuna kitu tuombe asitimize. Ila huruma imenijia kwa sbb ana majukumu mazito mbele yake kwa sasa na huyu mchepuko hajui anawaza hela ya biashara.

Na kuhusu kumwambia nimepanga nimwambie yeye aendelee na mambo yake hela ni zake bwana ila chonde chonde asiniletee magonjwa as kwangu mimi nimetulia na najiamini kwa asilimia 100.

Na kupambana eti na mchepuko sijui kupambana na mume siwezi kisasi ni cha Mungu. Halafu kwa nature ya wanaume walivyo ntagombana na wangapi. Au mnasemaje wadau?

Mie ninamuonea sana huruma maskini unakuta anawaza familia kumbe kuna ka mchepuko kanampa stress tena naogopa kasije kakamroga akatusahau, Nifanyeje?
Mchepuko wa shemeji nampa pole sana.
 
Mwandiko wa kiume...

Mada ni kumuonea huruma ila hitimisho ni kuomba ushauri...

JF imebadilika sana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom