Nimemuota Kapeace, naomba msaada!

Nimemuota Kapeace, naomba msaada!

WhoWeBe

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2022
Posts
2,299
Reaction score
4,282
Imetokea usiku wa kuamkia leo hiyo kitu, tena mara kadhaa. Kila nikilala kidogo namuona kapeace amefika tunazungumza, nikiamka hayupo! Nimeamka tangu saa kumi na moja kutafakari hili.

Nimemfuata dm tushirikiane kuitafsiri ndoto kwa amani na upendo wa hali ya juu, amenikaushia tu au haijafika.

Nafanyaje hapa wadau na mimi hii ndoto imeshaingia akilini?!!!!!
 
Punguza shobo mkuu,tafuta hela[emoji1]
Hiyo ndoto imetokea baada ya mchongo wa M kadhaa kukaa sawa; kama unabisha leo nikipita hapo stendi unapouzia karanga tuonane kama sikuchukua kapu lako lote na kauli 'keep change' nitakuachia.

Mwanaume bila shobo utaletewa posa nyumbani ndg'angu.....I mean utaolewa!!
 
Yaani unamuota mtu ambae humjui, au ndo unajisogeza
Ndo nipo hapa mkuu kupata msaada wa maana halisi na hatua za kuchukua. Nashangaa watu wanashambulia bila kutumia medulla oblangata angalau kwa sekunde moja. Taifa linageuka kuwa la hovyo sana hili.
 
Imetokea usiku wa kuamkia leo hiyo kitu, tena mara kadhaa. Kila nikilala kidogo namuona kapeace amefika tunazungumza, nikiamka hayupo! Nimeamka tangu saa kumi na moja kutafakari hili.

Nimemfuata dm tushirikiane kuitafsiri ndoto kwa amani na upendo wa hali ya juu, amenikaushia tu au haijafika.

Nafanyaje hapa wadau na mimi hii ndoto imeshaingia akilini?!!!!!
Atakuwa hajauona ujumbe wako, subiri auone naamini atakutafuta mzungumze. Ndoto ziheshimiwe jamanii...
 
Atakuwa hajauona ujumbe wako, subiri auone naamini atakutafuta mzungumze. Ndoto ziheshimiwe jamanii...
Na iwe hivyo mkuu, tunafeli sana kwa kudharau vitu ambavyo tunadhani ni vidogo. Waafrika walimcheka mzungu aliyekuwa anakamata mbu na kumuona mbumbumbu bila kujua alikuwa anatafuta dawa ya malaria.
 
Back
Top Bottom