Nimemuota leo Askofu Gwajima naomba mnisaidie maana ya ndoto hii


Kabla sijatoa Tafasiri ya Ndoto ningependa kujua Aina ya chakula ulichokula Jana Usiku maana si kwa ndoto hiiii ya Kutisha na kusikitisha pia.

Ndoto yako na ifananisha na Ndoto ya Mfalme Nebukandineza ingawa utofauti wa ndoto ya Mfalme na wewe nikuwa Wewe umeweza kuikumbuka yeye alishindwa kuikumbuka,Lakini Ufanano wa ndoto zenu uko hapa

Mfalme Aliita Watu wenye Hekima,waganga,wachawi walozi na Wapiga ramli ili wampe Tafasiri ya Ndoto ile ila wote Walishindwa,Ndivyo hata wewe Umeileta hapa Jamvini palipo na watu wenye vipawa,Taaluma na Uwezo mbalimbali ili wakupe Tafasiri Yamkini mpaka mda huu hujapata Tafasiri ya Ndoto yako😂

Pamoja na Hayo hii ndiyo Tafasiri ya Ndoto yako,Yale Majani uliyo yaona yaliwakilisha Ule Mti uliokuwa na Bango la Yule mtumishi,Lakini Wale vijana Ulio waona Wakishangilia niwale mbuzi waliyo litafuna lile bango,natazama Yule aliyetoka ndani akifanana na mtumishi

Huyu ni Yule mpita njia aliye Wapiga picha wale mbuzi na kushare kwenye social networks,hii ndiyo Tafasiri ya Ndoto

Asante
 
Umeota anakukatia uno, pornography star gwaji boy
 
Yani wewe ndio wale waganga walioshindwa kutafasili endelea kuwadanganya ila ukweli ni kwamba ushindi tayari ni kwa Gwajima ndoto inajieleza
 
Yani wewe ndio wale waganga na wachawi walioshindwa kutafasili endelea kuwadanganya ila ukweli ni kwamba Gwajima ndiye mshindi kawe ndoto imeshajieleza
 
Lala uote vizuri. unashahuriwa kabla hujalala fanya maombi
 
Hiyo ndoto inaashiria atakufanya kama alivyo mfanya yule kondoo wake
 
Maana ya ndoto yako gwaji boy ndie mbunge wa kawe ,kashinda weeeeeeeweeeeeee ngoja niandae vuvuzera langu
 
Yani mpaka hapo Kama hujaelewa kuwa Gwajima ndio mbunge wa Kawe endelea kusubiri TU........
 
Endelea kuota!
 
Basi tarehe 28 kajitokeze kabisa umpigie kura Gwaji ili awaletee maendeleo wana Kawe.
 
Basi tarehe 28 kajitokeze kabisa umpigie kura Gwaji ili awaletee maendeleo wana Kawe.
 
Ndoto mara nyingi huenda kinyume na ulichokiona ndotoni.

Kwa mfano kwenye muwambo, hauna kitu mfukoni kisha ukaota umeokota maburungutu ya minoti, je kesho uamkapo huwa unapata pesa?

Ninadhani jimbo la kawe safari hii kwaweza kuwa na kashifa ya uchaguzi kutokana na gwajiboy atakavyotumia rafu kushinda kama upepo utakwenda kinyume na matarajio yake.

Jimbo la kawe wapiga kura rasmi wengi ni wanajeshi na wanajeshi wanampenda sana Halima kutokana na kuwasilisha kero zao mara nyingi bungeni.

Wanajeshi hupiga kura kwa mapenzi na si kwa shinikizo la kisiasa, hawambebi mtu.

Siri hiyo gwajiboy hajaijua na kuichukulia uzito unaostahili.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…