Nimemuota leo Askofu Gwajima naomba mnisaidie maana ya ndoto hii

Nimemuota leo Askofu Gwajima naomba mnisaidie maana ya ndoto hii

Mbona rahisi tu. Ulikuwa unaota kwamba Gwajima kashinda ubunge Jimbo la Kawe. Ni ndoto tu.
 
Bilashaka ulikuwa umekunywa pombe usingizini hebu lala tena alaf uamke
 
Ndugu wana jamvi kwanza nikubali kwamba nimechelewa kuhadithia ndoto yangu maana muda huu umeendelea sana. Lakini sio mbaya nikasimulia kile nilichoota usiku wa kuamkia leo.

Baada ya kupata chakula cha usiku nimepumzika kidogo huku nikisubiria mechi ya Arsenal na Liverpool iliyoanza saa nne usiku. Baada ya mechi hiyo ambayo kimsingi imetoa matokeo mzuri kwa team yangu pendwa, nilienda kulala.

Hii ndio ndoto yangu; watu walikuwa wameshika matawi ya miti na wengine wakiwa na vuvzella walikuwa wanashangilia ushindi wa ubunge. Kulikuwa na vijana wengi wanaimba GWAJI!! kwa kurudia rudia katika mpangilio mzuri. Baada ya muda mfupi nikamuona Askofu Gwajima ametoka nje huku anatabasamu na kuwashukuru wananchi wote kwa ushindi.

KISHA NIKAAMKA USINGIZINI.
Basi tena chake
 
Mleta mada na wewe utakuwa ni msanii au tapeli la kutupwa kama unaemhubiri! Achana na huyu mtu na mtafute Mungu wa kweli.
 
Back
Top Bottom