Kwa Waislamu hili sio jambo geni ata kidogo ni utaratibu wa dini yetu unatuongoza ivoKwanini marehemu anaombewa?
Upo sahihi kabisa mkuu.Km muislam muombee dua/ km mkristu msomee misa.
Hiyo ni hali ya kawaida tu mkuu,mwombee tu kwa Mungu.Habari wanajukwaa?
Bila kupoteza muda ngoja nirnde moja kwa moja kwenye hoja. Nimekuwa nikimuota marehemu baba yangu mkubwa mara kwa mara japo alipata kufariki 2013 (Mungu amlaze mahala pema).
Japo alinilea toka udogoni kama mzazi wangu vile na kunichukulia kama mtoto wake. Nimekuwa nikimuota mara kwa mara tukiishi maisha yetu ya zamani kama muendelezo hivi. Na leo usiku pia nimemuota.
Hii katika ulimwengu wa kiroho inamaanisha nini?
Rakims Mshana Jr
Asante kwa kunijuzaKwa Waislamu hili sio jambo geni ata kidogo ni utaratibu wa dini yetu unatuongoza ivo
mna sio mtu akishakufa ndo mshamalizana nae haipo ivo kwetu sisi ila bado tunatakiwa tumuombee dua mna huko alipo kuna mengi yanamsibu
kiufupi ni hivo
ok karibu pia ujifunze UislamuAsante kwa kunijuza
Uhenga mkuu, tunapitaia mengi hayo unayajua tuu kutokana tuliyopitia.Upo sahihi kabisa mkuu.
Sawa,story za vijiweni hizi acha kupotosha watu ww
Katika mazingira ya nyumbani tulipokuwa tunaishi wote kabla yeye kufariki japo kwa sasa naishi kwangu.Unamuota katika mazingira gani?
Anakudai mafenesi yake uliokuwa unayaiba shamba kwakeHabari wanajukwaa?
Bila kupoteza muda ngoja nirnde moja kwa moja kwenye hoja. Nimekuwa nikimuota marehemu baba yangu mkubwa mara kwa mara japo alipata kufariki 2013 (Mungu amlaze mahala pema).
Japo alinilea toka udogoni kama mzazi wangu vile na kunichukulia kama mtoto wake. Nimekuwa nikimuota mara kwa mara tukiishi maisha yetu ya zamani kama muendelezo hivi. Na leo usiku pia nimemuota.
Hii katika ulimwengu wa kiroho inamaanisha nini?
Rakims Mshana Jr
Nakuapia hujui maandiko hata kdg wewe! acha kukariri unayoambiwa soma vitabu uelewe acha ubishi wa kwenu!Umarehemu wetu na kupumzika au kutopumzika baada ya mauti unaandaliwa tukiwa hai na si dua,misa,sala na maombezi toka kwa walio hai.
I mean akiwa anataka nini?Katika mazingira ya nyumbani tulipokuwa tunaishi wote kabla yeye kufariki japo kwa sasa naishi kwangu.
Haya pilipili kichaa kuwa na usiku mwema bro.Nakuapia hujui maandiko hata kdg wewe! acha kukariri unayoambiwa soma vitabu uelewe acha ubishi wa kwenu!
Mazingira ya kawaida tu yani kama maisha ya zamani tuliyokuwa tunaishi na familiaI mean akiwa anataka nini?
Usiku umelala . Labda upo na changamoto flan halafu unamuota. Saidia hapoUnamuota katika mazingira gani?
Si waislamu tu nadhani hata kanisa la warumi(RC) wanafanya haya mamboKwa Waislamu hili sio jambo geni ata kidogo ni utaratibu wa dini yetu unatuongoza ivo
mna sio mtu akishakufa ndo mshamalizana nae haipo ivo kwetu sisi ila bado tunatakiwa tumuombee dua mna huko alipo kuna mengi yanamsibu
kiufupi ni hivo
Kwa nini marehemu asiombewe?Kwanini marehemu anaombewa?