Nimemwaga mboga...lakini nafsi inanisuta.


Mzee mengine nimeona niyaache kwanza ila hili nitalijibu hapa ingawa si mahala pake, kwa bahati mbaya hapa hatujuani kwa majina ila niamini ninapokuambia nimepata bahati ya kuishi sehemu nyingi duniani kwa vipindi tofauti tofauti, nimeishi karibu mabara yote ya dunia tena nikiwa na bahati ya kushuhudia mabadiliko makubwa makubwa makubwa.

Nimeishi wakati sheria za ubaguzi zinaishia ishia Marekani, nimeishi wakati Russia ikiwa ni taifa kubwa, nimeishi ujerumani wakati ukuta wa Berlin ukianguka na pia nilikuwa Rwanda wakati Genocide inalipuka, nime save Bosnia kama askari wa kulinda amani na nilikuwa volunteer wa uchaguzi juzi wakati Bingu wa Mutharika wa Malawi aningia madarakani kwa matumaini makubwa.

Niamini ninapokuambia hakuna system iliyokamilika duniani na hakuna mwenye suluhisho la matatizo yoote ya mwanadamu in one package, so misimamo yangu ya kisiasa haina uhusiano kabisa na suluhu ya maisha bora kwa kila mtu. Siamini na sitegemei kuona jamii inayoishi kama peponi, kwa bahati mbaya sana pia mimi ni mjamaa hivyo naamini katika misuguano katika jamii na matabaka yanayo sababishwa na ukomo wa resources.

Nitampinga na kumdharau kila mwanasiasa anayewahadaa watu kuwa yeye ni mtume mwenye suluhu ya matatizo ya watu. Hii ni falsa yangu na ndio inayoniongoza katika misimamo yangu yangu.
 
Wewe kaka muuaji kabisa na mbinafsi,ukamuondoa mkeo.

Sikujua jamaa angepokea vipi, angeweza kuleta fujo sasa sikutaka mke wangu anione ninapo mpiga mtu makonde(utani).
 
kumbe tunaishi na mashetan dunian,una sifa zote za shetan,i hate u.
 
mkuu wewe sio wa kwanza ku-observe hicho kitu bt am a lady who 'think like a man n act like a lady' ha ha ha lol

Kama ni kweli you are a lady na una au utakuwa na mume/boyfriend au mshikaji ana kazi kubwa......
 
Nduka nikisema una hormones za kike ntakuwa nimewakosea heshima wadada zetu. Vitu hivi ni uhakike;
a) huna sifa ya uanamume, na huyo mtoto wako sidhani, most likely umesaidiwa..go for DNA
b) unahormones za sokwe
c) ubongo wako una evolve kuwa wa panya buku.
SHAME ON YOU
 
Tuko pamoja Igwe...ila nduka asilani usirudie tena, una bahati..kwani m'ume anapohanith.wa mbele ya mkewe anaweza fanya chochote..usionane naye anaweza kuwa kapata walimu wehu utaumia.&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;
<br />
<br />
kaka acha utani bwaana inamaana na wewe ulichukua kitu used!
 
Habari..Duh!..kaka maswali magumu yanini asubuhi yote hii..mshauri nduka atafute suluhu na huyo jamaa..
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
kaka acha utani bwaana inamaana na wewe ulichukua kitu used!
<br />
<br />
 
Nailyne napata tabu kuamini hii avatar yako, wewe utakuwa mwanaume piga ua galagaza, unachosema ndicho halisi kwa mwaume , unless awe na tatizo!!!
IGWE atakubaliana na mimi!!!

kaka,..nimegundua mimi na wewe tuko kwenye boti moja,....na huu ndio ukweli halisi na hayo mengine ni kama yale ya kwenye tamthilia,..anayebisha na abishe
 
ngoja tuone waungwana wengine wanasemaje, mimi naona kama man on man itakuwa ndio suluhu ya kweli.
<br />
<br />

Mkuu, ka vipi mtokee kijasusi zaidi, jua nyendo zake, ka ni mtu wa bar mtokee hapo hapo bar bila taarifa maana kuarrange vikao either unaweza mwagiwa tindikali au jamaa anaweza andaa mpango na masela wakakuzaba mkikutana. We mtokee kama jini tu then mtasolve kiutu uzima maana mwenyewe hatakuwa na muda wa kugenerate hasira. ni hayo tu..!
 

Mbilinho hii imekaa kiutu uzima sana, nadhani nitatumia ushauri wako, ngoja nijipange weekend hii nicheze na ratiba zake, thanks.
 
kumbe tunaishi na mashetan dunian,una sifa zote za shetan,i hate u.

sijapenda hata maneno yako,..kwani ni ya kuumiza na kuchochea hasira mno,..ndauka ka_admitt kwamba amekosa,sasa ushetani wake uko wapi kwani wewe haujawahi kukosea,...acha izo mkuu
 
sijapenda hata maneno yako,..kwani ni ya kuumiza na kuchochea hasira mno,..ndauka ka_admitt kwamba amekosa,sasa ushetani wake uko wapi kwani wewe haujawahi kukosea,...acha izo mkuu

Kuna watu wanapenda kujionesha wao ni ma saint, wakati ukiwachunguza ni mabaradhuri wakubwa tena wafedhuri wasio na heri walojaa shari
 

Unaweza kuvuna sawa sawa na maneno hayo uliyosema,....ni vizuri ukawatafuta ukawaomba msamaha....!
 
Familia zetu wote watatu zinakaa same neighbourhood.

Kwamba hadi mme kujua kwamba wewe ulikuwepo kabla yake kwa mkewe ...normally we don enquire on x's....
Labda ndo faida ya kuoa/kuolewa mbali...

hommie utanisamehe lakini nimesoam nikaishia tu kucheka.....haaa

Asee hii kitu imekaa kushoto kweli.....
Hope Mkuu Nduka ata-clean up the mess...ASAP...
 
Kwamba hadi mme kujua kwamba wewe ulikuwepo kabla yake kwa mkewe ...normally we don enquire on x's....
Labda ndo faida ya kuoa/kuolewa mbali...
...

Wala hakuhitaji kutumia nguvu kujua, by the way sioni ubaya wa kujua historia ya mwenzi wako kama mna mipango ya kuishi pamoja hadi kifo kiwatenganishe kwani kuna baadhi ya matukio yataendelea kuwagusa hata mtakapo kuwa wazee kabisa.
 
hahaha iko funny kidogo, ila hilo doa uliloweka kwenye hiyo ndoa sijui kama litakaa liishe hata wakisameheana, ulichofanya is real wicked, yule mwanaume afterall alikua na haki kukutreat, alivokutreat coz yule ni mke wake na lazima alisikia wivu ndo maana aka act alivoact.
 
kwanza,huyo jamaa kuja na hao watu wengine wewe kwanin uhisi alikuwa analengo la kukuaibisha?!Labda ni washkaji km mashahidi ili maamuzi ya ndoa yake yawe sawa! wewe ukakurupuka tu......
Pili,Kwanin ulimwambia wife wako aondoke?! ni wazi ulikuwa tayari umepania kitu kibaya na hukutaka wife wako ajue na si kwamba hayo maamuzi ulipitiwa...!
Tatu,mpigie simu jamaa na wife wake kwa wakati tofauti kwa kila mmoja omba msamaha na mume mueleze ukweli wote na ikibidi mueleze kwanin ulimfanyia vile siku ya tukio...Yangu kwa upeo wangu mdogo ni hayo tu
 
Kiukweli ulifanya mistake kubwa nahisi kuliko zote ambazo uliwahi kuzifanya... kumbuka kuwa ukweli humuweka mtu huru...tazama sasa umejenga uadui kati yako na girlfriend wako, mumewe na ht kwa rafiki zake... wema wote aliokutendea your ex hakutakiwa kulipwa kwa stahili hiyo... umemdhalilisha sana na umemuharibia ndoa yake...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…