SISIS
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 10,892
- 3,112
Nipo kwenye mahusiano na binti 2 years aliasomea ualimu na kazi hajawah pata mahusiano 2 years hakuna nachofaidika zaidi ya mbususu hana offer yyte hata likitokea la kutokea napambana mwenyewe.
Hapa kati kati akawa anafosi nimuowe nikamwambia tu wewe hapo ulipo tabia zako halisi bado hazijajulikana nikamwambia ukiomba hizi ajira za ualimu na ukipata kazi hapo ndio sura yako halisi itajulikana na ndio nitajua nipo na wife material au mdangaji kakasirika na hapokei sm.
Ila huo ndio ukweli wanawake wakishapata kazi tu hapo ndio utawajua tabia zao.
Hapa kati kati akawa anafosi nimuowe nikamwambia tu wewe hapo ulipo tabia zako halisi bado hazijajulikana nikamwambia ukiomba hizi ajira za ualimu na ukipata kazi hapo ndio sura yako halisi itajulikana na ndio nitajua nipo na wife material au mdangaji kakasirika na hapokei sm.
Ila huo ndio ukweli wanawake wakishapata kazi tu hapo ndio utawajua tabia zao.