1.Mwanamke anapokua Hana pesa, mahusiano kwake ni chanzo cha mapato( Kama amepata Ajira) lengo la kila mwanamke ukimuuliza atakujibu nataka mwanaume awe anamuhudumia awe anampa pesa.
2. Mwanamke akipata pesa anajitenga na mwanaume, ila mwanume akipata pesa uwaza kutumia na mwanamke, zingatia mwanamke awe mke wake au mchepuko Bado ni mwanamke.
Nipo kwenye mahusiano na binti 2 years aliasomea ualimu na kazi hajawah pata mahusiano 2 years hakuna nachofaidika zaidi ya mbususu hana offer yyte hata likitokea la kutokea napambana mwenyewe.
Hapa kati kati akawa anafosi nimuowe nikamwambia tu wewe hapo ulipo tabia zako halisi bado hazijajulikana nikamwambia ukiomba hizi ajira za ualimu na ukipata kazi hapo ndio sura yako halisi itajulikana na ndio nitajua nipo na wife material au mdangaji kakasirika na hapokei sm.
Ila huo ndio ukweli wanawake wakishapata kazi tu hapo ndio utawajua tabia z
Vijanaaaaa bana, Hawahitaji mambo mengiii.!!Vip kuhusu mishangazi
Yote katika yote , you are a man ishii kiakili!π§Nipo kwenye mahusiano na binti 2 years aliasomea ualimu na kazi hajawah pata mahusiano 2 years hakuna nachofaidika zaidi ya mbususu hana offer yyte hata likitokea la kutokea napambana mwenyewe.
Hapa kati kati akawa anafosi nimuowe nikamwambia tu wewe hapo ulipo tabia zako halisi bado hazijajulikana nikamwambia ukiomba hizi ajira za ualimu na ukipata kazi hapo ndio sura yako halisi itajulikana na ndio nitajua nipo na wife material au mdangaji kakasirika na hapokei sm.
Ila huo ndio ukweli wanawake wakishapata kazi tu hapo ndio utawajua tabia zao.
Sahihi.Sio mwanamke tu, hata mwanaume akianza kupata pesa huwa anabadilika sana
Lugha uliyotumia inatweza utu wakeNipo kwenye mahusiano na binti 2 years aliasomea ualimu na kazi hajawah pata mahusiano 2 years hakuna nachofaidika zaidi ya mbususu hana offer yyte hata likitokea la kutokea napambana mwenyewe.
Hapa kati kati akawa anafosi nimuowe nikamwambia tu wewe hapo ulipo tabia zako halisi bado hazijajulikana nikamwambia ukiomba hizi ajira za ualimu na ukipata kazi hapo ndio sura yako halisi itajulikana na ndio nitajua nipo na wife material au mdangaji kakasirika na hapokei sm.
Ila huo ndio ukweli wanawake wakishapata kazi tu hapo ndio utawajua tabia zao.
Hii sio kwaajili yako, naongea na mabinti juu ya aina ya wanaume kama wewe....Nipo kwenye mahusiano na binti 2 years aliasomea ualimu na kazi hajawah pata mahusiano 2 years hakuna nachofaidika zaidi ya mbususu hana offer yyte hata likitokea la kutokea napambana mwenyewe.
Hapa kati kati akawa anafosi nimuowe nikamwambia tu wewe hapo ulipo tabia zako halisi bado hazijajulikana nikamwambia ukiomba hizi ajira za ualimu na ukipata kazi hapo ndio sura yako halisi itajulikana na ndio nitajua nipo na wife material au mdangaji kakasirika na hapokei sm.
Ila huo ndio ukweli wanawake wakishapata kazi tu hapo ndio utawajua tabia zao.
Huu ni ukweli ambao tunauishi na kuuona kwenye jamii yetu kila siku. Lakini watakuja wabishi hapa watakwambia unakwepa majukumu, una inferior complexity na blah blah kibao.1.Mwanamke anapokua Hana pesa, mahusiano kwake ni chanzo cha mapato( Kama amepata Ajira) lengo la kila mwanamke ukimuuliza atakujibu nataka mwanaume awe anamuhudumia awe anampa pesa.
2. Mwanamke akipata pesa anajitenga na mwanaume, ila mwanume akipata pesa uwaza kutumia na mwanamke, zingatia mwanamke awe mke wake au mchepuko Bado ni mwanamke.
Mwanaume kujitoa au sio πππππUlikuwa na shida ya kula mbususu. Tayari umepata now she is useless!
Kwa mwanaume mahusiano ni kujitoa.
Ukiona haupo tayari kujitoa kwa mwanamke wako basi jua huyo haukuwa na malengo naye ya muda mrefu.
Kwaiyo hicho kigezo cha kutongoza ndio mnataka kukituma kutufanya watumwa wa kubeba gharama zenu za maisha.Ni kweli akipata kazi ndio utajua tabia yake halisi, lakini je alikutongoza?
Wakati mnatongozana ulijua ana kazi au hana?
Maisha yake yepi hayo aliyoshindwa kuendelea nayo kipindi chote miaka miwili? Mahusiano yalimzuia kupata kazi au kuanzisha biashara ndogo ndogo? Au maisha yake unamaanisha kubadilisha badilisha wanaume mpaka atakapompata wa kumpa hela?Majivuno....angeendelea tu na maisha yake aisee