Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Mapenzi ya kuviziana ni changamoto kwa vijana. Hata mwenye nia nzuri unashindwa kumuaminiHii sio kwaajili yako, naongea na mabinti juu ya aina ya wanaume kama wewe....
Wanaume hawana kona kona kwenye jambo alilokusudia kufanya. Men are intentional when they want to marry. Inachukuwa miezi 3 mpaka mwaka kujua kama mnafika popote. Na utajuaje? Matendo yake, utaona tu anafanya harakati za kukufanya uwe mkewe
Wacha kupoteza wakati wako wa thamani na mwili wako kuendelea kutumika kwa mwanamme asiye mume wako na hana mpango wa kukufanya mke wako. Kimbia, wako yupo
Kwaiyo hicho kigezo cha kutongoza ndio mnataka kukituma kutufanya watumwa wa kubeba gharama zenu za maisha.
Suala sio kutongozwa suala ni unaongeza output ipi kwenye mahusiano.
All you provide is sex, then ni mwendo wa hit and run tu.
Mnabidi mkubali tu ukweli kwamba vijana washa-unlock code na kuona mwanamke wa sasa ni liability. Mchango wake pekee ni sex tu ambayo haileti valuable output yoyote mezani, na hapa ndipo mapenzi ya kuviziana yanapoanzia.Wenye kazi hakuwaona? wenye hela hakuwaona? watoto wa matajiri hakuwaona? Mwanzo alijua ataprovide nini kingine zaidi ya sex? Alivyoona ha provide kingine zaidi ya sex akaendelea kufanyana nae hadi alipoona amemchoka sio?
Hit and run? As if inawezekana kwa kila mtu… kuna siku wajinga wenzenu wataisha! Mtajifunza kuwaheshimu wanawake au kujitenga nao.
Una kwepa maswali.Mnabidi mkubali tu ukweli kwamba vijana washa-unlock code na kuona mwanamke wa sasa ni liability. Mchango wake pekee ni sex tu ambayo haileti valuable output yoyote mezani, na hapa ndipo mapenzi ya kuviziana yanapoanzia.
Bado tupo mwanzoni lakini mbeleni hii trend itasambaa zaidi. Namna pekee ya kuji-adjust na nyie mnatakiwa kuamka na kuwa na output kwenye mahusiano yenu vinginevyo wengi wenu mtaishia kutumika kwa starehe ya muda mfupi tu hata kama mlikua na nia njema kwenye hayo mahusiano.
Suala la kazi iyo inajulikana tu mtu mzima anawajibika kujihudumia mwenyewe kwaiyo hata kama hana kazi sasa hivi atatafuta na akikosa atacheki utaratibu mwingine mfano kujiajiri.Una kwepa maswali.
Huyu jamaa yako ni victim? hakujua kama demu wake hana kazi? Wenye kazi wote sisi hakutuona?
Tunakoelekea wenzetu western walishafika kitambo , people are independent out there.
However there’re still Men who provides, Couple who share living costs, kataa ndoa wa kike na kiume , mashoga, wasagaji, sellers/buyers, lost souls, Singles who doesn’t fuvk around etc etc. It is called Society. Kasome sifa za society…….
Umezingua mbwa wewe umezingua kifalaNipo kwenye mahusiano na binti 2 years aliasomea ualimu na kazi hajawah pata mahusiano 2 years hakuna nachofaidika zaidi ya mbususu hana offer yyte hata likitokea la kutokea napambana mwenyewe.
Hapa kati kati akawa anafosi nimuowe nikamwambia tu wewe hapo ulipo tabia zako halisi bado hazijajulikana nikamwambia ukiomba hizi ajira za ualimu na ukipata kazi hapo ndio sura yako halisi itajulikana na ndio nitajua nipo na wife material au mdangaji kakasirika na hapokei sm.
Ila huo ndio ukweli wanawake wakishapata kazi tu hapo ndio utawajua tabia zao.
Sahihi ya wapi kazingua angekua hamuingilii akamwambia hivyo sawa sasa anamuingilia n still bado anamuita majina ya ajabu kisa kaambiwa amuoe sasa si agonge apite hivi kuliko kupoteza mudaUpo sawa mkuu
Uko sahihi 100%Nipo kwenye mahusiano na binti 2 years aliasomea ualimu na kazi hajawah pata mahusiano 2 years hakuna nachofaidika zaidi ya mbususu hana offer yyte hata likitokea la kutokea napambana mwenyewe.
Hapa kati kati akawa anafosi nimuowe nikamwambia tu wewe hapo ulipo tabia zako halisi bado hazijajulikana nikamwambia ukiomba hizi ajira za ualimu na ukipata kazi hapo ndio sura yako halisi itajulikana na ndio nitajua nipo na wife material au mdangaji kakasirika na hapokei sm.
Ila huo ndio ukweli wanawake wakishapata kazi tu hapo ndio utawajua tabia zao.
0-10%Uko sahihi 100%