Nimemwambia leo silali nyumbani, ameanza kuwapigia ndugu zangu na ndugu zake simu wamuombee msamaha

Nimemwambia leo silali nyumbani, ameanza kuwapigia ndugu zangu na ndugu zake simu wamuombee msamaha

LA7

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
655
Reaction score
2,369
Alinibania nikamvumilia sasa nikaona huu ni upuzi ya nn niteseke sasa baada ya kugundua nimeanza mahusiano mapya ameanza kuvurugwa.

Kipindi sina demu alikuwa ananijibu kwa jeuri kwa sababu alikuwa na uhakika yupo mwenyewe

Sasa baada ya kuendeleza mgomo nikamwambia Leo sitalala nyumbani, kufika tu kazini nikawa napigiwa simu na ndugu zake na ndugu zangu wanamuombea msamaha

Na mimi nimesema leo silali nyumbani ili tu ajue hii dunia ni pana.
 
Alinibania nikamvumilia sasa nikaona huu ni upuzi ya nn niteseke sasa baada ya kugundua nimeanza mahusiano mapya ameanza kuvurugwa...
Lala nyumbani wewe,huko Nako atajifanya kaloweka nguo!Utakosa kazi maana nguo zote ziko huko home.
 
Aisee, mambo ya ndoa unaishirikisha jamii unataka ushauri? Usifiwe? Utukanwe ? Au unataka nini?
Muda mwingine muwe mnajifikiria kabla ya Kupost ujinga ujinga wenu.
 
Aisee, mambo ya ndoa unaishirikisha jamii unataka ushauri? Usifiwe? Utukanwe ? Au unataka nini?
Muda mwingine muwe mnajifikiria kabla ya Kupost ujinga ujinga wenu.
Mbona na ww comment yako unatuwekea JF unaonaje ungebaki nayo
 
Alinibania nikamvumilia sasa nikaona huu ni upuzi ya nn niteseke sasa baada ya kugundua nimeanza mahusiano mapya ameanza kuvurugwa.

Kipindi sina demu alikuwa ananijibu kwa jeuri kwa sababu alikuwa na uhakika yupo mwenyewe

Sasa baada ya kuendeleza mgomo nikamwambia Leo sitalala nyumbani, kufika tu kazini nikawa napigiwa simu na ndugu zake na ndugu zangu wanamuombea msamaha

Na mm nimesema leo silali nyumbani ili tu ajue hii dunia ni pana.
Rudi nyumbani mkuu mkatengeneze na mke wako.
 
Back
Top Bottom