ZEE LA UONGO
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,314
- 3,944
Sawa mkuu, acha mie nikafurahi mapenzi kwa uhuru wote sasaNenda tu mkuu na uoe kabisa ila mm ntakuja tu muda wwte kusalimia watoto hata mkihamia burundi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu, acha mie nikafurahi mapenzi kwa uhuru wote sasaNenda tu mkuu na uoe kabisa ila mm ntakuja tu muda wwte kusalimia watoto hata mkihamia burundi
Adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake. Huyo hawara yako, ( mke wa nje- mchepuko) ndiye adui wa mkeoAlinibania nikamvumilia sasa nikaona huu ni upuzi ya nn niteseke sasa baada ya kugundua nimeanza mahusiano mapya ameanza kuvurugwa.
Kipindi sina demu alikuwa ananijibu kwa jeuri kwa sababu alikuwa na uhakika yupo mwenyewe
Sasa baada ya kuendeleza mgomo nikamwambia Leo sitalala nyumbani, kufika tu kazini nikawa napigiwa simu na ndugu zake na ndugu zangu wanamuombea msamaha
Na mm nimesema leo silali nyumbani ili tu ajue hii dunia ni pana.
Ndio mkuu, alienda lockup na chupa moja ya mafuta lakini kwasababu wamemtenga pekeyake kwaiyo mafuta anapigia nyeto.Hivi Didy alienda lockup na mafuta yake?
PoleAlinibania nikamvumilia sasa nikaona huu ni upuzi ya nn niteseke sasa baada ya kugundua nimeanza mahusiano mapya ameanza kuvurugwa.
Kipindi sina demu alikuwa ananijibu kwa jeuri kwa sababu alikuwa na uhakika yupo mwenyewe
Sasa baada ya kuendeleza mgomo nikamwambia Leo sitalala nyumbani, kufika tu kazini nikawa napigiwa simu na ndugu zake na ndugu zangu wanamuombea msamaha
Na mimi nimesema leo silali nyumbani ili tu ajue hii dunia ni pana.