Na yeye akikwambia na mimi silali pia nyumbani nani angechanganyikiwa zaidi..!Alinibania nikamvumilia sasa nikaona huu ni upuzi ya nn niteseke sasa baada ya kugundua nimeanza mahusiano mapya ameanza kuvurugwa...
Uzuri wa JF sio ya baba wala mama yako mkuuSasa unamkomesha nan mr? Kwani na hili linahitaji thread? Jf imekuwa ya ovyo sanaa! Kwani huwezi kumkomoa bila sisi kujua!
Ukienda huko ukarud na UTI au vyovyote utakuja tena kutwambia au! Rubbish
For sureNaendelea kuwasisitiza vijana......KATAA NDOA, NDOA NI UTUMWA
Lala nyumbani wewe,huko Nako atajifanya kaloweka nguo!Utakosa kazi maana nguo zote ziko huko home.Alinibania nikamvumilia sasa nikaona huu ni upuzi ya nn niteseke sasa baada ya kugundua nimeanza mahusiano mapya ameanza kuvurugwa...
Mie naenda kulala naeAlinibania nikamvumilia sasa nikaona huu ni upuzi ya nn niteseke sasa baada ya kugundua nimeanza mahusiano mapya ameanza kuvurugwa...
Rudi nyumbani mkuu mkatengeneze na mke wako.Alinibania nikamvumilia sasa nikaona huu ni upuzi ya nn niteseke sasa baada ya kugundua nimeanza mahusiano mapya ameanza kuvurugwa.
Kipindi sina demu alikuwa ananijibu kwa jeuri kwa sababu alikuwa na uhakika yupo mwenyewe
Sasa baada ya kuendeleza mgomo nikamwambia Leo sitalala nyumbani, kufika tu kazini nikawa napigiwa simu na ndugu zake na ndugu zangu wanamuombea msamaha
Na mm nimesema leo silali nyumbani ili tu ajue hii dunia ni pana.