Nimemwambia leo silali nyumbani, ameanza kuwapigia ndugu zangu na ndugu zake simu wamuombee msamaha

Adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake. Huyo hawara yako, ( mke wa nje- mchepuko) ndiye adui wa mkeo
Na atamnyoosha.
 
Mkuu lengo ilikua kumyoosha amenyooka, cha msingi rudi leo umtembezee jegeje la ki historia remind her why ww ni kidume. U arleady won.

Ukianza pigo za kulala nje akilipiza shauri yako utakua umebomoa nyumba kwa nyege zako.
 
Pole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…