Nimemwandikia Rais barua kuomba stendi ya Nyamongolo Mwanza ipewe jina la John Mnyika

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Sijui Nani ana mamlaka ya kutoa hata majina lakini bila shaka Rais ana ushawishi. Nimemuomba mama Samia afikirie kuipa stendi mpya jijini Mwanza jina la Katibu wangu John Mnyika.

Nimependekeza jina la Mnyika sababu ya uwezo wake mkubwa wa kiongozi hapa makao makuu, busara, elimu, ushawishi.

Sio kwamba hawa wengine hawana bali ni nadra sana kuvikuta vyote kwa pamoja kwa mtu mmoja.
.
Majibu yatakuja hapahapa.
 
Sasa stendi ipewe jina lake ili iweje??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…