Nimemwendea mke wangu kwa mganga!

Ikiisha atasepa tena kama kawaida yake,mpende akupendae asiekupenda achana nae
 
Wengi watajifanya kukandia hapa lakini nina hakika dakika hii inbox ya jamaa imejaa maombi ya maelekezo ya unapopatikana mganga.
We hujaenda pm kwa jamaa mlozi bado?
Jamaa anafurahi kugeuziwa mkewe ndondocha.
Mkewe nae atamwendea kwa mganga apewe limbwata akihofia kuachwa maana anampenda sana mumewe.
Mlishwa limbwata akilishwa itakuwaje?
Stay tuned!
 
Yaani bado sijakupatia majibu!!!natafakari
 
Komaa sana dawa likiisha utapata shida endelea kumwendea had I kufa usipofanya hivyo utakuja kuipatapata ya madawa
 
Utawahi kufa ww
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…