T Tony Laurent JF-Expert Member Joined Jan 5, 2011 Posts 5,606 Reaction score 7,032 Jul 29, 2013 #1 Leo asubuhi nikiwa kwenye daladala nimeshanga kumwona kijana mdogo wa umri kati ya miaka 12- 14 akiwa na mvi kichwani. Nimeshangaa na nimeshindwa kuelewa; inakuwaje mtoto wa umri huo awe na mvi kichwani? Tafadhali kwa anayejua sababu anijulishe.
Leo asubuhi nikiwa kwenye daladala nimeshanga kumwona kijana mdogo wa umri kati ya miaka 12- 14 akiwa na mvi kichwani. Nimeshangaa na nimeshindwa kuelewa; inakuwaje mtoto wa umri huo awe na mvi kichwani? Tafadhali kwa anayejua sababu anijulishe.