Nimemwona mtoto akiwa na mvi

Tony Laurent

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2011
Posts
5,606
Reaction score
7,032
Leo asubuhi nikiwa kwenye daladala nimeshanga kumwona kijana mdogo wa umri kati ya miaka 12- 14 akiwa na mvi kichwani. Nimeshangaa na nimeshindwa kuelewa; inakuwaje mtoto wa umri huo awe na mvi kichwani? Tafadhali kwa anayejua sababu anijulishe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…