Nimemwona mtoto akiwa na mvi

Nimemwona mtoto akiwa na mvi

Tony Laurent

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2011
Posts
5,606
Reaction score
7,032
Leo asubuhi nikiwa kwenye daladala nimeshanga kumwona kijana mdogo wa umri kati ya miaka 12- 14 akiwa na mvi kichwani. Nimeshangaa na nimeshindwa kuelewa; inakuwaje mtoto wa umri huo awe na mvi kichwani? Tafadhali kwa anayejua sababu anijulishe.
 
Back
Top Bottom