Nimemwona Wema Sepetu, nimeshangaa kwanini tuna mu-Over rate sana

huyu alikuwa mzuri kipindi kile anashinda umiss....huu muonekano wake wa sasa ni kivuli tu cha yaliyopita.
 
O
Wakinani wana mu-over rate....?
Yawezekana matangazo ya biashara yake ndio inafanya mumfahamu....
 
Wema mzuri wewe acha fix
Unanogewa na picha ndugu, mimi nilikataaga mika mingi? Wema hamfikii Joket wala Zari, Wana Lulu, wala Tunda wala Kajala. Haya maswala ya kuona mwanamke kajipodoa na kujimake up insta unakimbilia kusema mzr ni uzuzu. Sepetu, anavaa nguo za kukusacha mwili wala hana shape, hata picha zake za utotoni hazionyeshi km atakuja kuwa na figa ya hatari. Figure huwanza kujitengeneza mapema mno. Angalia Lulu, Kajala, Tunda nk huwezi pata hips ukiwa na miaka 25 hizo ni za kununua. Hana lolote akina aslay acha wamuimbe wajifurahishe tu, ni mwanamke wa kawaida sana sema Diamondi nae hajuagi mademu wazuri, katoka kwa wema kaenda kwa yule bibi kizee, siju safari hii atakuja na dubwana lipi.
 
Acheni utani bongo kuna mademu wazuri kuliko huyo sepenga

Mfano huyu hapa chini mtoto mbichiii
 
kutana nae live ,utakimbia kama chura!!
 
Sijui wema, wolpa, uwoya tupa jalalani saizi kuna vyombo vipya mjini, mtoto tunda, mobeto, ambalulu,mimi mars, nandy, nini, sasa izo screpa za nini enzi izi za watoto wabichi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…