Nimemwona Wema Sepetu, nimeshangaa kwanini tuna mu-Over rate sana

Nimemwona Wema Sepetu, nimeshangaa kwanini tuna mu-Over rate sana

Sijui wema, wolpa, uwoya tupa jalalani saizi kuna vyombo vipya mjini, mtoto tunda, mobeto, ambalulu,mimi mars, nandy, nini, sasa izo screpa za nini enzi izi za watoto wabichi
Eti amber lulu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hakuna kitu pale.... Utamu wotee umekwisha... Mtoto mzuri walauwalau yule Kajala bado ana utamu... Lakini Wema, Wolper na wengine wa aina yao Hawa utamu ushaisha.Bahati mbaya bado hawagutuki... Watakuja shitkuka washekuwa mabibi na Wema namuhurumia lile tako la Dukani likianza kuporomoka atakuwa kituko cha jiji.
 
Aisee, huyu dada ambae sifa zake zimejaa Tz na kuimbwa mara kwa mara kwenye miziki ya wanamziki wakubwa hapa bongo Leo nimemwona live Supermarket moja msasani.

Niseme wazi bila chuki, Wema hana uzuri hata wa demu wangu. Kajaa manyama kwenye mikono, makalio yame jaa jaa mpk unaona mabonde mabonde.

Yani nimevuta picha akivua nguo, hiyo michirizi sio ya Nchi hii, ni ramani ya kwenda Sauzi kabisa.

Kwenda kuangalia picha za IG na jinsi nilivyo muona nikaamini kweli wabongo tunabibiwa sana.

Ilibidi niulize tena kwa watu tofauti kwamba huyu ni Wema kweli?

Khaaaaa!!
hivi wema ndo nani?
 
Back
Top Bottom