Nimemwona Wema Sepetu, nimeshangaa kwanini tuna mu-Over rate sana

Nimemwona Wema Sepetu, nimeshangaa kwanini tuna mu-Over rate sana

Aisee, huyu dada ambae sifa zake zimejaa Tz na kuimbwa mara kwa mara kwenye miziki ya wanamziki wakubwa hapa bongo Leo nimemwona live Supermarket moja msasani.

Niseme wazi bila chuki, Wema hana uzuri hata wa demu wangu. Kajaa manyama kwenye mikono, makalio yame jaa jaa mpk unaona mabonde mabonde.

Yani nimevuta picha akivua nguo, hiyo michirizi sio ya Nchi hii, ni ramani ya kwenda Sauzi kabisa.

Kwenda kuangalia picha za IG na jinsi nilivyo muona nikaamini kweli wabongo tunabibiwa sana.

Ilibidi niulize tena kwa watu tofauti kwamba huyu ni Wema kweli?

Khaaaaa!!
Mmh jaman Mbona ni mzuri tu hana ubaya wowote ndio maana ni mmoja wapo wa mastar beauty hapa Bongo kwenye Top 5
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Watakuita bavicha sasa hivii

Wema mzuri banaa
 
Kwani we unafikiri wema mzuri kivile sasa?

Mbona huo uzuri wake alio nao bado atasubiri sana kumfikia Dada angu mbitiyaza kwa urembo alio nao
 
Kwani Diamond anasemaje kumhusu Wema?

Na mbona kaachana na Zari.!?
 
hao woote wanaomsifia wema wanatoka mikoani hata wakimuona kichuya au okwi barabarani wanajazani unasimama unauliza kuna nini hapa jamani watakwambia tunamuangalia wema au okwi looo tz washamba wengi
Acha hizo sio wote wanaokaa mikoani ni washamba ,wengine hawanaga time na masuper star
 
Back
Top Bottom