Nimemwona Wema Sepetu, nimeshangaa kwanini tuna mu-Over rate sana

Nimemwona Wema Sepetu, nimeshangaa kwanini tuna mu-Over rate sana

Ni mzuri yule dada sema umri imekuwa tatizo kwake...anazeeka so hawezi bakia na standard ile ile.
Wema mkali anko tusidanganyane hapa hyo minyama ndo fresh sana aisee
Nisaidie kumwambia huyo...kile chombo hasa sema ndo hivyo mipombe, umri, stress
WEMA original 2.JPG
WEMA original.jpg


Labda amwangalie vizuri wakati akiwa kinda maana hata bibi na mama zetu waliwahi kuwa ma-sista du
 
Mtafute wema wa mr. Blue,kanumba,chaz baba achana na huyu wa Diamond....

Pombe,umri,nasikia hata ile ishu ya makonda anatumia....plus ku2mika sana .
 
Mi mwenyewe nilimuona yaani ana minyama fulani kwa makwasukwasu
 
Wema mzuri wewe acha fix
Nope!
Kuna siku tumekutana nae pale Steers ya City centre (sijui kama bado ipo), jamaa yangu alimshangaa sana. Alisema mbona hafanani na sifa anazopewa kwenye media? Nikasema kausha, wapenzi wake wasije wakakusikia.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] kila mwaka yeye anasema ana miaka 29. Hazeeki bhana
Hahahhaaa labda kwa ile lugha maarufu ya "ngo'mbe hazeeki maini" lakini kiumri anazeeka aisee
 
Aisee, huyu dada ambae sifa zake zimejaa Tz na kuimbwa mara kwa mara kwenye miziki ya wanamziki wakubwa hapa bongo leo nimemwona live Supermarket moja msasani.

Niseme wazi bila chuki, Wema hana uzuri hata wa demu wangu kajaa manyama kwenye mikono, makalio yame jaa jaa mpaka unaona mabonde mabonde.

Yani nimevuta picha akivua nguo, hiyo michirizi sio ya nchi hii, ni ramani ya kwenda sauzi kabisa.

Kwenda kuangalia picha za IG na jinsi nilivyo muona nikaamini kweli wabongo tunabibiwa sana.

Ilibidi niulize tena kwa watu tofauti kwamba huyu ni Wema kweli?

Khaaaaa!!
Pale kati patamu by Ellibariki
 
Tako lake limeongezeka sana sio kama lile la 2006 wakati anapata uMiss TZ. Tako la sasa ni kama mkate ulioloa maji, lipo batebate yaani ukibonyeza halirudi juu haraka. Amebadilika sana
 
Back
Top Bottom