Nimemzaba kofi 'wife' sababu ya Prof.Lipumba. Kamaindi, karudi kwao Kinyerezi

Daa umetuzalilisha wanaume. Pia omba msamaha kwa Mkeo na wanaume tuliofedhehesha.

Kwahiyo kukuambia wewe ni CUF ya Lipumba Kofi je akikuita Magu hotaua kweli?
 
Kweli hapo limekuganda. Hapo tumia akili mbadala mwanangu. We hakikisha kuwa unakutana na huyo wife hata kama amezima cm. Tafuta hata rafiki yake akusaidie hiyo ishu akija ongea nae na muyamalize hata km hatakukubalia, na km maisha yenu kabla ya hapo hamkuwa na shida atakusamehe tu na atarudi. Ila ua he utani wakumzaba mwenzako kibao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daa umetuzalilisha wanaume. Pia omba msamaha kwa Mkeo na wanaume tuliofedhehesha.

Kwahiyo kukuambia wewe ni CUF ya Lipumba Kofi je akikuita Magu hotaua kweli?
Inamana sasa niache kutaniana na mke wangu...au? Mbona vibao vya makalio hua haondoki mkuu? Huyu ananletea visa tu

An ant on the move does more than a dozing ox.
 
Sante mkuu

An ant on the move does more than a dozing ox.
 
Ulikuwa hujui kuwa ni demu wa lipumba? Ona sasa umempa tixket ya kuliwa. Siku nyingine atasema anapenda chadema na kumtaja mbowe, ukimpiga tu wanakutana KIA.. BE CAREFUL

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini ulimpiga kofo kama mlikua kwenye utani??? nyie wanaume ndio maana mnanyweshwa mikojo na nyama mbichi nyieeee.

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
kofo- kofi

Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…