Ivi kweli inawezekana kumwelezea mtu mzima mwenye akili timamu huu wehu wa prof kua ndo chanzo cha ugomvi?
hahahahah asalaaaleh!!!
Nimecheka sana
Yani stori yako na ID yako kilambimkwidu ni comedy tosha
Mimi nisingekimbia ukweni,ningemrudushia bonge la kibao cha mgongo.Hahaha
Hahaha,korofi sana wewe.mi na namba ya lipumba sijui nimpe labda atamsaidiaMimi nisingekimbia ukweni,ningemrudushia bonge la kibao cha mgongo.
Meza yote ya dressing table ingehamia mwilin kwake.
Umefanya vizur tena bahati nzuri unakuta baba mkwe ni CUF asili... Atakuomba umuongeze kibao kingine ili atoe yale maji ambayo ukikamatwa tu.. Lazima wakulazimishe uyatoe wakayapimeWanajamvi,
Ivi wenzangu hamnaga matani kwenye mahusiano yenu huko?? Iko hivi....
Nipo na wife tumekaa kitandani, wife anakunja nguo mie nachezea simu iko kwenye chaji huku nimejilaza. Hapa na pale wife kaniambia kiutaniutani tu eti "..afu we unaonekana upo CUF ...tena CUF ya Lipumba. Mie kwa ghadhabu nikanyanyuka nikamzaba kofi moja mpaka akaangukia kitandani, mie nilizan ni masikhara tu kajiangusha. Nikarud kitandan nikaendelea kuchezea sim, nikamwambia "Lipumba hana CUF... kuna CCM na CCM ya Lipumba"
Wife akaamka, katoka nje kapiga yowe moja. Inavoonekana, lile kofi kachukulia serious ameondoka amekimbilia kwao Kinyerezi. Kama nusu saa sasa naona simu ya Mamaake Mdogo inanipigia. Sijapokea. Bila shaka wife kaishafika kwao...
Hapa majirani wawili wamekuja home wanauliza kunani yowe hilo; nimewambia pako shwari tu, labda waliskia vibaya.Sasa najiuliza; kama kwel kachukulia serious hadi ameenda kushtaki kwao, hii kesi mbona ni ngumu sana. Ivi kweli inawezekana kumwelezea mtu mzima mwenye akili timamu huu wehu wa prof kua ndo chanzo cha ugomvi? Nikiwaeleza wakwe haya mambo ya Lipumba afu eti nikamzaba kikofi binti yao, wataniona niko timamu kweli? Au nifanyeje jaman; asalaaaleh?
Mzee baba naona umekurupuka kama jpm [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Wanajamvi,
Ivi wenzangu hamnaga matani kwenye mahusiano yenu huko?? Iko hivi....
Nipo na wife tumekaa kitandani, wife anakunja nguo mie nachezea simu iko kwenye chaji huku nimejilaza. Hapa na pale wife kaniambia kiutaniutani tu eti "..afu we unaonekana upo CUF ...tena CUF ya Lipumba. Mie kwa ghadhabu nikanyanyuka nikamzaba kofi moja mpaka akaangukia kitandani, mie nilizan ni masikhara tu kajiangusha. Nikarud kitandan nikaendelea kuchezea sim, nikamwambia "Lipumba hana CUF... kuna CCM na CCM ya Lipumba"
Wife akaamka, katoka nje kapiga yowe moja. Inavoonekana, lile kofi kachukulia serious ameondoka amekimbilia kwao Kinyerezi. Kama nusu saa sasa naona simu ya Mamaake Mdogo inanipigia. Sijapokea. Bila shaka wife kaishafika kwao...
Hapa majirani wawili wamekuja home wanauliza kunani yowe hilo; nimewambia pako shwari tu, labda waliskia vibaya.Sasa najiuliza; kama kwel kachukulia serious hadi ameenda kushtaki kwao, hii kesi mbona ni ngumu sana. Ivi kweli inawezekana kumwelezea mtu mzima mwenye akili timamu huu wehu wa prof kua ndo chanzo cha ugomvi? Nikiwaeleza wakwe haya mambo ya Lipumba afu eti nikamzaba kikofi binti yao, wataniona niko timamu kweli? Au nifanyeje jaman; asalaaaleh?
Lugha ya ndoa ngumu sanaaa kuekeweka.Wanajamvi,
Ivi wenzangu hamnaga matani kwenye mahusiano yenu huko?? Iko hivi....
Nipo na wife tumekaa kitandani, wife anakunja nguo mie nachezea simu iko kwenye chaji huku nimejilaza. Hapa na pale wife kaniambia kiutaniutani tu eti "..afu we unaonekana upo CUF ...tena CUF ya Lipumba. Mie kwa ghadhabu nikanyanyuka nikamzaba kofi moja mpaka akaangukia kitandani, mie nilizan ni masikhara tu kajiangusha. Nikarud kitandan nikaendelea kuchezea sim, nikamwambia "Lipumba hana CUF... kuna CCM na CCM ya Lipumba"
Wife akaamka, katoka nje kapiga yowe moja. Inavoonekana, lile kofi kachukulia serious ameondoka amekimbilia kwao Kinyerezi. Kama nusu saa sasa naona simu ya Mamaake Mdogo inanipigia. Sijapokea. Bila shaka wife kaishafika kwao...
Hapa majirani wawili wamekuja home wanauliza kunani yowe hilo; nimewambia pako shwari tu, labda waliskia vibaya.Sasa najiuliza; kama kwel kachukulia serious hadi ameenda kushtaki kwao, hii kesi mbona ni ngumu sana. Ivi kweli inawezekana kumwelezea mtu mzima mwenye akili timamu huu wehu wa prof kua ndo chanzo cha ugomvi? Nikiwaeleza wakwe haya mambo ya Lipumba afu eti nikamzaba kikofi binti yao, wataniona niko timamu kweli? Au nifanyeje jaman; asalaaaleh?
Kutopokea simu kutaleta taswira ya kudhamiria kumpiga mkeo, pokea simu zao waambie utaenda mkaongelee huko kwao.Aisee....naona limekua serious. Najaribu kumeneji hapa...naona simu ya Uncle tena. Wife kazima sim tatzo
An ant on the move does more than a dozing ox.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nenda kinyerezi kawaeleweshe wakwe zako kwamba ilikuwa ni utani tuu.
I miss uUnalo babu,limekuganda
Mimi nisingekimbia ukweni,ningemrudushia bonge la kibao cha mgongo.
Meza yote ya dressing table ingehamia mwilin kwake.