Nimemzidi umri kwa miaka 12

Nimemzidi umri kwa miaka 12

Hao viongozi wa dini waliwapa mimba kabla ya ndoa?
Ndio, tena ukiyasoma yaliyoandikwa ktk vitabu vya mapokeo (vitabu vitakatifu) unaona sisi tuna nafuu. Mfalme Daudi ambae dini nyingi zinamwelezea kwenye vitabu vyao alimpa mimba mke wa mtu na kibaya zaidi akaamua mumewe. Mtoto aliezaa na mwanamke huyu ndie alieinuliwa na Mwenyezi Mungu kuwa Mfalme wa Taifa lake huku akijaaliwa "Hekima & Busara" kushinda Binadamu wote kabla na baada yake.
 
Ndio, tena ukiyasoma yaliyoandikwa ktk vitabu vya mapokeo (vitabu vitakatifu) unaona sisi tuna nafuu. Mfalme Daudi ambae dini nyingi zinamwelezea kwenye vitabu vyao alimpa mimba mke wa mtu na kibaya zaidi akaamua mumewe. Mtoto aliezaa na mwanamke huyu ndie alieinuliwa na Mwenyezi Mungu kuwa Mfalme wa Taifa lake huku akijaaliwa "Hekima & Busara" kushinda Binadamu wote kabla na baada yake.

Hiyo zama za kale mkuu, hizi ni enzi za new testament labda waandike agano jipya part II
 
Hebu soma vzr comment Yangu!hakuna mahali nimesema awadanganye wazazi wake!!

Soma tena!

  • Huyo kaka anasema kwao wataleta zengwe,kwahiyo ataenda kuwatangazia ndugu zake kuwa umemzidi?..
    If so,hayupo tayari kukudefend huko kwao!?

    Umemwambia awadanganye wazazi wake ila umetumia maneno mengine i.e. paraprhasing (tazama red colour)​



 
Hata huyo kijana umri huo ni ukingoni.kwa vile life expectance yetu ni miaka 52.kijana akiwa amechelewa sana umri wa mwisho kuoa uwe 30.naye bado anachelea kupoteza muda na huyo dada.mimi dada nakushauri umwombe tu kijana akuzalie mtoto.ila asikuoe itasumbua baadae unungekuwa karibu na mimi ningekuomba unizalie mtoto mie nina mmoja tu yupo form three.na age yangu ni 46 ila nahitaji nami nimekwama.ukiona vipi oaneni tu mapenzi hayana macho.
 
atakusumbua ukizaa nae just tafuta mkubwa mwenzio,nitafute pembeni nikwambie
 
ha haaa nimeipenda hiyo azae nae watoto wawili kwa haraka haraka lols

pia mimi nimeipenda.lakini unajua kuhitaji mtoto ni issue nyingine! Na kufanikiwa kupata mtoto ni issue nyingine.mimi ni mzee wa 46 yrs.enzi za ujana nilishuhudia jamaa na mke wake walitoa mimba mbili za ujanani kisa alipenda ajirushe na mke wake enzi hizo ndo wameoana ni msichana mwali!weweee alipofikia wakati wa kuhitaji mtoto ampate na nani? Kila mke akijifungua vinakufa.so mtoto ni zawadi toka kwa mungu....
 
Mpe usimnyime, siyo vizuri kumnyima mtu kitu wakati unacho...
 
pia mimi nimeipenda.lakini unajua kuhitaji mtoto ni issue nyingine! Na kufanikiwa kupata mtoto ni issue nyingine.mimi ni mzee wa 46 yrs.enzi za ujana nilishuhudia jamaa na mke wake walitoa mimba mbili za ujanani kisa alipenda ajirushe na mke wake enzi hizo ndo wameoana ni msichana mwali!weweee alipofikia wakati wa kuhitaji mtoto ampate na nani? Kila mke akijifungua vinakufa.so mtoto ni zawadi toka kwa mungu....

Ndiomana sio vizuri kutoa toa mimba huwezi jua kesho...
 
Usithubutu kuzaa, huu ushauri wa bure tu nakupa!
Kwani wangapi wamezaa na wameachwa?.

Km kweli yupo serious na ni mpango wa Mungu itakua tu dada yangu!!...

Huyo Dada ako nae ataingiliaje mapenzi ,hajui ni makubaliano ya watu 2!
.sorry,huyo Dada ako kaolewa?

Huyo kaka anasema kwao wataleta zengwe,kwahiyo ataenda kuwatangazia ndugu zake kuwa umemzidi?..
If so,hayupo tayari kukudefend huko kwao!?

Dada Yangu muombe Mungu,ukipata amani moyoni jua ndie ,na km ndie hakutakuwa na chochote kitakachozuia,means kila mmoja wenu atakua tayari kudefen penzi lenu!!

Nb:naona anataka kujua km unaweza kuzaa.
Mtazamo wangu tu!!!
Kwa miaka 44 mimi ningezaa naye tu hasa kama nina uwezo wa kulea mtoto, maana monopause inakaribia. Mengine ya kuishi nami au kunidump yatakuja baadae. Do I have many options katika umri huo? She is not 28, ana miaka 44
 
Dada mpaka sa8 usiku mnaongea tuu live bila chenga wala umeme kukatikakatika??
ushauri....wewe kama mnapendana bebaneni tu muoane tena kwa shangwe zote! wambie unamiaka28! kwani wakwe watadai cheti cha kuzaliwa???

Daah We mkali. Hapo kwenye cheti cha kuzaliwa, Nimecheka sanaaa. Lol

Mpaka saa 8 ?? Aisee mi lazma ningekwisha mpanda huyo dada. Tehe
 
In a way tulikuwa tunaongea akaniambia ukikutana na mama yangu wakati unadamu yake mikononi hatakuwa na jinsi, aliongea kama utani lakini ilikuwa sentensi nzito

Its true.

My Take:
Kubali kuzaa nae ikiwezekana wawili haraka haraka, Plz do that yatakua poa tu huko mbeleni...You are never gana be lonely in ur life. Its obvious he won't stop taking care of u since u got his kids. You will be suprised how happy ur life will be.

Trust me. Utakuja kumbuka sanaa maneno yangu. #Goodluck .
 
Sky Eclat

Mnaweza kuoana kwasasa, ila kubali tu kesho kutwa utakapokua fifty yrs utaletewa dogo dogo ama kukimbiwa na kuambiwa kua wewe mzee na kusema alikosea kukuoa. Blive me kwa sasa kakutamani sana kwa umri uo simply bcoz hamjaishi pamoja kama husband and wife. Ukimpa amege tu na mkikaa kidogo ataanza iyo sababu ya umri,na tofauti ya umri wenu itakua silaha yake kukuadhibu.

Ushauri : Tafuta age mate wako aliyekwisha tumia ujana wake na kutulia, ambaye kwasasa hana mke, 42-50yrs uko labda ita work out,..........But imekuaje umechelewa hivi?jua limezama dada yangu dah. Anyway All the Best

Sio kweli kama anaweza kuwa mzee kijana akaingiza dogo dogo, inategemea na udongo wa mwanamke, pengine kijana anaweza kuzeeka na huyu dada akawa kijana, mbona wako wengi tu?

Kama kweli wamependana waowane tu, wasije kizini, na kumuasi mungu, mtoto ni majaaliwa, unajuaje kama huyo kijana ana uzazi?

Ah dada kama ningekupata mimi ningekuowa sasa hivi. Na sherehe juu, wacha wanune, na mke wangu achukie, ila haki kuengeza 😀😀😀
 
Yawe yatakavyokuwa lakini na weye mwambie weye si experimental plot ya kujaribia mazao. Kwanza mwambie kuwa anaujua umri wako yeye wala si ukoo wake. Pili, kupata mtoto ni majaliwa ya Mola. Wapo walioolewa na miaka 18 na wamezeeka bila mtoto.
Hivyo basi, mwambie aamue, kuoa mke si shamba wala tractor. Mapenzi hayapungui kwa kukosa mtoto. Namfaham mama mmoja, alikuwa enzi zake kicheche. Akapata watoto 2 wa kike. Watoto wakiwa na umri wa miaka 22 alijitokeza kijana, wa mtaa ule ule. Anamfaham vizuri sana huyu mama, kijana only 26 years, lakini alimzimia yule mama. Tukaenda kumshauri kuwa basi angalau amchukue mmoja wa wale binti za mama kwani walikuwa hawana mtu. Alikomaa mpaka kamchukua mama. Alikuwa zaidi ya miaka 40.
Walijaliwa mtoto mmoja tu wa kiume. Siku za bibie zikaisha kabisa. Hawakupata mtoto mwingine. Leo mtoto wao kamaliza form 5 na maisha yao mazuriiiii.
Nakushauri; Aamue kuoa mke si shamba. Aamue yeye mwenyewe si ukoo. Umri hauandikwi usoni, tena yaonesha weye ni miongoni mwa wale wasio zeeka upesi ambao wapo. Hivyo, hayo mengine humezwa na mapenzi moto moto mpaka alewe
 
Khaa!! Unahangaika kweli wewe, Kama uliweza kuongea naye hadi saa nane za usiku naye akaridhika tatizo liko wapi?? nani kakwambia hapa duniani kuna kifaa cha kupimia umri kiusahihi?? Nenda pale RITA kanunue cheti kipya cha kuzaliwa biashara imekwisha. Hawaulizi cheti cha kuzaliwa labda cheti cha afya tu :yawn:
 
Back
Top Bottom