Nimemzidi umri kwa miaka 12


hiyo uliyo pata ni bahati sana
itumie vyema zaa na huyo kijana ila hata mkiachana ubaki na ukumbusho na uitwe mama
coz umri nao unazidi kuyoyoma,
pili ukikutana na mzee wa umri wako au aliye kuzidi umri atakuzeekea tuu bora kijana akupe shughuli ya haja.
anywey akili kumkichwa but umri sio shida sana na kijana kaamuwa kuwa wazi kwako
 
44yrs , no Husband no kid/kids...Nadhani its too late...honestly.. ukizaa now..ukifika 50 yrs mwanao ndo atakua 6yrs..yani hata shule hajaanza,.

Its too late. lets be realistic .
 
Dada mpaka sa8 usiku mnaongea tuu live bila chenga wala umeme kukatikakatika??
ushauri....wewe kama mnapendana bebaneni tu muoane tena kwa shangwe zote! wambie unamiaka28! kwani wakwe watadai cheti cha kuzaliwa???
Lol bebaneni,love is love sex is sex
 
Kuna wakati wanaume tuwe tunaangalia mbali na si mbele tunapofanya analysis ya mambo ambayo yana umuhimu sana maishani.
Tofauti ya miaka 12 kweli?!
 
Sky Eclat bado hujafikia uamuzi tu? ni toka mwaka jana (2015) ujue....🙂🙄
 
Kipendacho roho,hula nyama mbichi. Fanyeni yenu.
 
A true LOVE has no reason, but accompanied by endless and unconditional sacrifices and commitments....! And a real and everlasting marriage do come alone with no sake....! With exception of telling your LORD what you need, do not struggle to seek marriage, let it come automatically....!
 
Mmmh, huyo kijana ni limbukeni sana. Yaani wewe tafuta mzee mwenzio. Huo utakuwa ni wizi wa mapenzi hata wazazi wake na jamii watakushangaa.
 
Miaka 44 hujafika tu menopause kama bado basi uko kwa pre-menopause sooooo bila kufikiri sana kuhusu possibility ya kuolewa ukapoteza muda ukajikuta umefika kikomo zaanae tu jamaaa na huenda ikawa pia kigezo cha mizengwe inayohofiwa toka kwao na jamaaa
 
Umezaliwa 1967 halafu dogo wa 1985
kama umempenda poa mfunge ndoa tu .
 
hivi mwanmke wa miaka
44 bado anazaa...hata hivyo kama anazaa bora azae tu coz kwa mwanamke miaka yote hyo then mnamshauli asizae...it is not fair....otherwise kama ameamua au hana haja na familia..
 
Kuna wakati wanaume tuwe tunaangalia mbali na si mbele tunapofanya analysis ya mambo ambayo yana umuhimu sana maishani.
Tofauti ya miaka 12 kweli?!
Uko sahihi mkuu
Hata Nick Canon alimkimbia Mariah Carey
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…