Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Ndo nmeona leo....miss u too kipenziHaahaaaa
Ulikuwa hujui!!!
BTW miss u
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo nmeona leo....miss u too kipenziHaahaaaa
Ulikuwa hujui!!!
BTW miss u
Dah... Huyo kijana!!! Mimi Nina uhakika anakutapeli kimapenzi, sijui kwa nini nahisi hivyo. Anataka kukufanyia utapeli wa kimapenzi.
Kama kweli yupo settled na kipato cha uhakika, na wewe una maisha yako, msome kwanza...give it some time..wewe ni mtu mzima, sidhani kama unaendeshwa na mihemko kivile. Mda utakupa majibu yote...ila nna wasiwasi anakutapeli kimapenzi
Humu kumbe unaweza kuta unawakosea adabu mama na baba zako bila kukusudia. Kama vipi wote waliovuka 40 wajitaje, ili tupunguze masihara popote watakapokuwa, kwa nia njema tu.
Humu kumbe unaweza kuta unawakosea adabu mama na baba zako bila kukusudia. Kama vipi wote waliovuka 40 wajitaje, ili tupunguze masihara popote watakapokuwa, kwa nia njema tu.
At 44 muda unatoka wapi tena kaka? Hapa anatakiwa kupiga magoli ya dakika za majeruhi Kama finals ya Man U Vs Bayern M!
Mmmh... Rafiki!!
Kama anakupenda kwa dhati mwambie utazalia ukiwa kwenye ndoa maana usikute shida yake ni mtoto kutoka kwako. Halafu jambo jingine imekuwaje unafikia 44 bila kuwa na mume?
Dogo, kuna threads zingine ukiona zimekuzidi umri tuachie sisi kaka/baba zako tutoe ushauri. Hapa kuna wazazi wako, wajomba zako na shangazi zako.
Ni ushauri mzuri sana kwa wasichana. Hata safari ya matumaini lazima iwe na kikomo. Vinginevyo yanakuwa matumaini hewa.
Uckubali kuzaaa mama angu ohooo
Duuh..44 kwa 31!! Hebu jamani nipe uzoefu mi mshamba hivi mama wa miaka 44 anaweza kweli kuwa hata na hisia na kijana wa rika hilo...mwwee mjini mna vituko! Mama tafuta japo wa fourty..mwee ndio maana nchi inakuwa na majangaaaaa! Watu wana walaani watoto wa wenzao!
Dark City, shida kubwa huyu dada anahitaji kuseto na mwanaume. Je, ikitoea kuwa huyu mwanaume anamdamganya na wala hataki kuseto, huoni kama sista ataumia?
Bado ana bikra Huyo!!!! Ila kwa Dar Na sehemu nyingine zenye maisha magumu hiyo ni kawaida, jaribu kupita clinic huone wanawake wakuuubwaMiaka 44 unaweza shika mimbaa kweli na je tangu ujana wako hujawahi kuwa na mpenzi?
Mimi hapa popote unionapo niamkie kiroho safi
Dogo, kuna threads zingine ukiona zimekuzidi umri tuachie sisi kaka/baba zako tutoe ushauri. Hapa kuna wazazi wako, wajomba zako na shangazi zako.
Dark City, shida kubwa huyu dada anahitaji kuseto na mwanaume. Je, ikitoea kuwa huyu mwanaume anamdamganya na wala hataki kuseto, huoni kama sista ataumia?