Nimemzidi umri kwa miaka 12

Nimemzidi umri kwa miaka 12

Unakaribia 6ft. Siyo mbaya. Yeye ni mrefu pia siyo mbaya. Unampa heshima zote ni vizuri sana. Je matarajio yako/yenu kwenye kupata watoto ni wangapi na kwa kipindi cha muda gani? Mna mikakati gani kwa sababu ki umri ndiyo mshasogea tena haswa wewe mwanamke. Kwa mwanaume bado.
Sikudanganyi hatujawahi kuongelea haya.
 
Hivi miaka 44 wanazaa bila shida?

nafikiri ana wasiwasi akikuoa atapata watoto?
ndo maana anataka mzae kwanza

na wewe ukuendelea kusubiri utazaa na mika 50?

nafikiri huna choice...zaa nae hata asipokuoa angalau utakua na mtoto

tena zaa nae watoto wawili kwa haraka haraka halafu muache mwenyewe aamue kukuoa au kutokuoa.....

Umenena Kiongozi, azae tu hata asipoolewa abaki na watoto wake, Wa rika lake wengine saa hizi wana wajukuu ati!
 
Hivi miaka 44 wanazaa bila shida?

nafikiri ana wasiwasi akikuoa atapata watoto?
ndo maana anataka mzae kwanza

na wewe ukuendelea kusubiri utazaa na mika 50?

nafikiri huna choice...zaa nae hata asipokuoa angalau utakua na mtoto

tena zaa nae watoto wawili kwa haraka haraka halafu muache mwenyewe aamue kukuoa au kutokuoa.....

Ha haaa nimeipenda hiyo azae nae watoto wawili kwa haraka haraka lols
 
Hilo la dhambi siwezi kulizumgumzia. Naamini "wameshajuana", nilitaka kujua kama ataridhika kuwa na faraja ya mtoto endapo huyo boyfriend ayabadili mawazo baadae.

Hayo yatakuwa mazungumzo baada ya habari. Yanatakiwa kupewa uzito mkubwa sasa ukizingatia suala la umri wa mdogo wetu?
 
Unajuaje pasi na shaka kwamba anakupenda?

I wish ungemfunulia kwanza kisha ulete mrejesho!

ngoja niombe msaada wa jeshi la MMU...
KOKUTONA, MwanajamiiOne, Fixed Point, Mbu, Kaizer, Asprin...

Tatizo ni kwamba kwa sasa hivi hana much choice inabidi kugrab opportunity inayokuja kwanza.....so suala la kuprove love halipo yeye focus yake ni kweny kuzaa tu baas maana umri umeenda.
 
Last edited by a moderator:
Tatizo ni kwamba kwa sasa hivi hana much choice inabidi kugrab opportunity inayokuja kwanza.....so suala la kuproveove halipo yeye focus yake ni kweny kuzaa tu baas maana umri umeenda.

Labda hapendi watt
 
Tatizo ni kwamba kwa sasa hivi hana much choice inabidi kugrab opportunity inayokuja kwanza.....so suala la kuproveove halipo yeye focus yake ni kweny kuzaa tu baas maana umri umeenda.

Umeona Kaizer?

Hivi dakika za majeruhi kuna nafasi tena ya kuremba remba na chenga za akina Zidane?

Ngoja sasa nimwambie bibi tuanze maandalizi ya kupokea kajukuu. Tena wakiwa mapacha itakuwa special hat trick!
 
Last edited by a moderator:
Aisee mamsap kwa huo umri nakushauri hata kama hatokuoa zaa angalau mtoto mmoja au wawili ivi watakufariji baadaye ila wawe wa baba mmoja itamfanya awe na uzito wa kuwa na % flani za upendo na uthamini kwa sababu ya wanawe pamoja na ww umri huo bora mtto kwnza.
 
Miaka 44 unaweza shika mimbaa kweli na je tangu ujana wako hujawahi kuwa na mpenzi?

anashika mimba vizuri tu bila matatzo ila jamaa anahitaji awahi haraka ndani ya miaka 3 awe na watoto 2
 
Kama huna hata mtoto kwa umri huo,subiria menopause at 45 yrs.
 
Sikudanganyi hatujawahi kuongelea haya.

Hamna budi kuongelea na kujua nini kila mmoja akifikiriacho au akitarajiacho kutoka kwa mwenzake. Upendo ni nguzo muhimu sana kwenye mapenzi sikatai ila malengo ni muhimu zaidi tena sana. Unaweza ukaona ni sawa sasa hivi lakini baadae mtakuja kuchukiana. Wewe unataka hiki yeye hataki au yeye anataka hiki wewe hutaki.
 
Dah... Huyo kijana!!! Mimi Nina uhakika anakutapeli kimapenzi, sijui kwa nini nahisi hivyo. Anataka kukufanyia utapeli wa kimapenzi.

Kama kweli yupo settled na kipato cha uhakika, na wewe una maisha yako, msome kwanza...give it some time..wewe ni mtu mzima, sidhani kama unaendeshwa na mihemko kivile. Mda utakupa majibu yote...ila nna wasiwasi anakutapeli kimapenzi

Na mimi nimefikiria hivyo ukizingatia watoto wanaozaliwa leo ni wazuri kuliko waliozaliwa jana na juzi.
 
Ingekua mwanaume ndo ana 44 sawa,
Fanya japo uzae dada menopause inakaribia au sijui ishaanza,
Maisha mazuri yaonekana unayo kuzaa napo shida?
 
Back
Top Bottom