Nimemzidi umri kwa miaka 12

Nimemzidi umri kwa miaka 12

Umri wangu ni miaka 44, sijaolewa na sina mtoto. Ninafanya kazi katika Taasisi ya Serikali, mwanzoni mwa mwaka huu nilipelekwa semina kwa wiki moja.

Tukiwa kule kiti changu kilikuwa karibu na kiti cha kijana mmoja, mrefu, nadhifu, mcheshi. Tulifikia hoteli moja, baada ya siku tatu tulibadilishana number za simu maana tuliweza kuelekezana migahawa mizuri kwa chakula.

Semina iliisha Ijumaa na tuliagwa kwa tafrija baada ya hapo kila mtu aliekea alikotoka.

Mimi na kijana tuliendelea kuwasiliana kwenye whatsApp, imefikia katika hali kuwa, nikiamka asubuhi lazima tusalimiane, tunabadishana picha za lunch, usiku ndio kabisa tunachat masaa mawili-matatu. Ilitokea nikamuuliza hivi unahisi mimi nina miaka mingapi?

Akajibu 28, nilicheka, nikaamua kukaa kimya. Moyo wangu umempenda sana, sasa lakini niliamua kumueleza ukweli. Alishtuka na kukaa kimya, nikajua basi ameshaondoka.

Kesho yake alinipigia simu akaniuliza kama nilishawahi kuolewa, je nina mtoto. Akajibu umri kwake sio tatizo. Yeye ana miaka 31, anakazi nzuri sana.

Weekend iliyopita alikuja kunitembelea, alifika Jumamosi asubuhi, kwa sababu bado tunafahamiana alichukua hoteli mjini, alikuja kwangu jioni, tulikaa tukaongea mpaka saa nane usiku, akaondoka kurudi hotelini kwake, kesho yake alirudi kwake.

Dada yangu mkubwa ambae mtoto wake wa kwanza ana miaka 29 ameniambia nimuache kijana kwani ni sawa na mwanangu! Kijana mwenyewe amekiri kuwa kwao wazazi wataleta zengwe, amenishauri tuzae kwanza kabla hajanipeleka kwao.

Ushauri jamani
Kuna mahali eidha umefowadi au umeediti au umeyafanya yote mawili... hiyo itapelekea tushindwe kukupa ushauri mirua
 
Miaka 44 we mkubwa sana mamii!!! Ki Africa Africa its almost abomination
Kama umeweza subiri hadi 44 subiri zaidi that man ain't yo type utakuja kuumia mbeleni
 
Age is just a number .. Ila kutakuwa na changamoto since utazeeka kabla yake so lazima atatafuta agemate wenzake tatizo na wewe umezidi kujiremba mpaka unaoneka msichana mbele ya wavulana. Bora uje kwangu mzee mwenzio tupige show za kizee.
 
Umri wangu ni miaka 44, sijaolewa na sina mtoto. Ninafanya kazi katika Taasisi ya Serikali, mwanzoni mwa mwaka huu nilipelekwa semina kwa wiki moja.

Tukiwa kule kiti changu kilikuwa karibu na kiti cha kijana mmoja, mrefu, nadhifu, mcheshi. Tulifikia hoteli moja, baada ya siku tatu tulibadilishana number za simu maana tuliweza kuelekezana migahawa mizuri kwa chakula.

Semina iliisha Ijumaa na tuliagwa kwa tafrija baada ya hapo kila mtu aliekea alikotoka.

Mimi na kijana tuliendelea kuwasiliana kwenye whatsApp, imefikia katika hali kuwa, nikiamka asubuhi lazima tusalimiane, tunabadishana picha za lunch, usiku ndio kabisa tunachat masaa mawili-matatu. Ilitokea nikamuuliza hivi unahisi mimi nina miaka mingapi?

Akajibu 28, nilicheka, nikaamua kukaa kimya. Moyo wangu umempenda sana, sasa lakini niliamua kumueleza ukweli. Alishtuka na kukaa kimya, nikajua basi ameshaondoka.

Kesho yake alinipigia simu akaniuliza kama nilishawahi kuolewa, je nina mtoto. Akajibu umri kwake sio tatizo. Yeye ana miaka 31, anakazi nzuri sana.

Weekend iliyopita alikuja kunitembelea, alifika Jumamosi asubuhi, kwa sababu bado tunafahamiana alichukua hoteli mjini, alikuja kwangu jioni, tulikaa tukaongea mpaka saa nane usiku, akaondoka kurudi hotelini kwake, kesho yake alirudi kwake.

Dada yangu mkubwa ambae mtoto wake wa kwanza ana miaka 29 ameniambia nimuache kijana kwani ni sawa na mwanangu! Kijana mwenyewe amekiri kuwa kwao wazazi wataleta zengwe, amenishauri tuzae kwanza kabla hajanipeleka kwao.

Ushauri jamani
weka picha zote tuone sura zenu bibi usije ukawa unatembea na make up ndo mana dogo janja kakuvizia had saa nane usiku aone makunyanz
 
hiyo ndo golden chance komaa na dogo!
#ng'ombe hazeeki maini
 
mwenye huu uzi amekopi na kupesti from my blog. mnatoa ushauri hewa, afu mnaye mshauri mpaka sasa labda atakuwa ame-pass away,kazaa au ameshafunga ndoa.....huu uzi kitambo sana
 
Age is just a number .. Ila kutakuwa na changamoto since utazeeka kabla yake so lazima atatafuta agemate wenzake tatizo na wewe umezidi kujiremba mpaka unaoneka msichana mbele ya wavulana. Bora uje kwangu mzee mwenzio tupige show za kizee.
Shikamoo R Mbuna!
 
hnahakika penzi lenu litadumu na litakuwa tamu na laiti uzi huu angekuwa kaandika yeye huyo mshkaji wako ningemuambia tu a take control ya kila kitu juu yako na ningempa guides flani hivi naimani angezichukua tu.kwenye mambo haya nilishajiona mie nikama ibilisi. halafu nikwambie kitu, mwanaume kabisa aliyekamilika hutoamba mwanamke yeyote aliye ridhaa kutoambwa na yeye hata awe wa namna gani (ila tu ushauri mke wa mtu,mtoto na vichaa hawa jamani tusiwafanye) ukiona mwanaume yeyote anamlingia mwanamke huyo ukimchunguza
piga ua utamkuta ana elements za kike kibao.hivyo natumia fursa hii kwa dhati kumpongeza huyo jamaa yako.ninamengi ya kueleza ila nimechoka sana lakini mkubalie mskaji anaonekana naye jembe.
 
Heeeee!, tatizo kemikali mnazotumia zinatuchanganya vijana. Kuna muda mnaonekana kama bado mabinti, hata mimi nimekumbwa na hilo japo sijui lakufanya hadi sasa. Natarajia kuoa na ninayempenda kanizidi miaka 5.5, nafikiria sipati jibu. Kwa macho anaonekana mdogo, haya mambo haya! shida sana
 
Umri wangu ni miaka 44, sijaolewa na sina mtoto. Ninafanya kazi katika Taasisi ya Serikali, mwanzoni mwa mwaka huu nilipelekwa semina kwa wiki moja.

Tukiwa kule kiti changu kilikuwa karibu na kiti cha kijana mmoja, mrefu, nadhifu, mcheshi. Tulifikia hoteli moja, baada ya siku tatu tulibadilishana number za simu maana tuliweza kuelekezana migahawa mizuri kwa chakula.

Semina iliisha Ijumaa na tuliagwa kwa tafrija baada ya hapo kila mtu aliekea alikotoka.

Mimi na kijana tuliendelea kuwasiliana kwenye whatsApp, imefikia katika hali kuwa, nikiamka asubuhi lazima tusalimiane, tunabadishana picha za lunch, usiku ndio kabisa tunachat masaa mawili-matatu. Ilitokea nikamuuliza hivi unahisi mimi nina miaka mingapi?

Akajibu 28, nilicheka, nikaamua kukaa kimya. Moyo wangu umempenda sana, sasa lakini niliamua kumueleza ukweli. Alishtuka na kukaa kimya, nikajua basi ameshaondoka.

Kesho yake alinipigia simu akaniuliza kama nilishawahi kuolewa, je nina mtoto. Akajibu umri kwake sio tatizo. Yeye ana miaka 31, anakazi nzuri sana.

Weekend iliyopita alikuja kunitembelea, alifika Jumamosi asubuhi, kwa sababu bado tunafahamiana alichukua hoteli mjini, alikuja kwangu jioni, tulikaa tukaongea mpaka saa nane usiku, akaondoka kurudi hotelini kwake, kesho yake alirudi kwake.

Dada yangu mkubwa ambae mtoto wake wa kwanza ana miaka 29 ameniambia nimuache kijana kwani ni sawa na mwanangu! Kijana mwenyewe amekiri kuwa kwao wazazi wataleta zengwe, amenishauri tuzae kwanza kabla hajanipeleka kwao.

Ushauri jamani
kifupi bado hujaachwa na basi la maisha, kwani wapo watu wazima wenzako kwanini uangaike na watoto wako wa kuwazaa kabisa? ulikuwa wapi kuolewa ulipokuwa bado mbichi 20-30 yrs? au wewe ndio wale walipokuwa kwenye kuchanua wanaleta mapozi mingimingi ya kuchagua chagua sana watu wa kuwaoa wakati umri hausimami unasonga mbele.hili ni tatizo sana mpaka kesho na mabinti wa leo wanaendelea kuchagua sana mpaka wanakosea kupata mtu sahihi wakati wanapokua bado vigoli.mwishoe wanachezewa sana na umri unazidi kwenda.

Endelea kugegedwa na wazee wenzako usimuharibie future huyo kijana kwani ww ni very very old na 44 yrs mimba itakuwa na complications, usijejikuta umepoteza maisha bure wakati wa uzazi.umekura maisha weeeeee ulipokuwa kigoli na inaonekana ulikuwa una maringo sana kwasababu ya urembo na uzuri wako ..sasa hivi umechoka na kuchuja ...unalilia ndoa... sasa hivi unatembea na vitoto vyako afu unajidai mnaongea mpaka saa nane usiku? maongezi gani na kijana?

ushauri;
Tafuta mzee wa miaka 50-60 yrs ili mzeeshane na mzee mwenzako, yaani mmalizie kura raha na rika lako achana kabisa na dotcom. kwani huyo jamaa huenda yupo kimaslahi ie.mariooo..anaetafuta unafuu wa maisha kwako ila unatuficha kwamba ana kazi nzuri.. pia kazi yake sio mapenzi .kuwa makini sana kwani kesho kutwa unagota 50 yrs na jamaa atakukimbia ili akaenjooy maisha na dogodogo anaelingana nae umri na utajuta kuzaliwa na kuwafahamu vijana wa kileo.

kama una amini Mungu yupo na unafanya ibada rudi kwake na ujikite katika kufanya maombi sana kwani umefanya uzinzi na kijana wa kumzaa kabisa ndio maana dadako ana hekima sana alipokwambia umuache huyo jamaa.
 
Hakikisha kama anajua maana ya tofauti ya umri uliopo.
Mara nyingi wanawake wanakuwa matured kuliko wanaume kama unadhani mmebalance humtreat kama bwana mdogo.
Kama unadhani unaweza kumsikiliza kama MUME na yeye sio anakupenda umlee kama mama yake na sio kuchukua rensponsibility ya MUME endleeni.

Lakini kwa uzoefu hawa vijana hupenda mteremko wewe umeshajiestablish hana shida ya kukusaidia kupata mwelekeo wa maisha hana shida ya kuhakikisha uko salama.
Lakini kuna wachache ambao wanaishi vizuri sana tu.
Inategemea unataka nini kutoka kwa mwenzi wako


ACHA WIVU WEWE......31 unahisi atakuwa bado mwehu kiasi HICHO ....
 
Sky Eclat

Mnaweza kuoana kwasasa, ila kubali tu kesho kutwa utakapokua fifty yrs utaletewa dogo dogo ama kukimbiwa na kuambiwa kua wewe mzee na kusema alikosea kukuoa. Blive me kwa sasa kakutamani sana kwa umri uo simply bcoz hamjaishi pamoja kama husband and wife. Ukimpa amege tu na mkikaa kidogo ataanza iyo sababu ya umri,na tofauti ya umri wenu itakua silaha yake kukuadhibu.

Ushauri : Tafuta age mate wako aliyekwisha tumia ujana wake na kutulia, ambaye kwasasa hana mke, 42-50yrs uko labda ita work out,..........But imekuaje umechelewa hivi?jua limezama dada yangu dah. Anyway All the Best





NYIE KWANINI MNAHUKUMU SANA DIIIIIIII,,,,,,,,,,,,,SIO KWELI
 
mapenzi kizunguzungu ndio kama hivi....ulishawahi kushika mimba before..? imekuwaje hujazaa pia ulikuwa hutaki kuza...hujawahikuwanamtu au?
 
Back
Top Bottom