Nimemzidishia chenchi mtu bahati mbaya, nimeumia sana

crankshaft

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,427
Reaction score
3,438
Akili haikuwa sawa wakati huo, sikupiga hesabu vizuri ndio nashtuka saa hizi.

Mbaya zaidi niliyemrudishia alikuwa anatoka kanisani dhehebu fulani nililokuwa naliamini sana.

Nawaomba mkizidishiwa chenchi muwe mnarudisha, mtabarikiwa hayo tu.
 
Akili haikuwa sawa wakati huo, sikupiga hesabu vizuri ndio nashtuka saa hizi.

Mbaya zaidi niliyemrudishia alikuwa anatoka kanisani dhehebu fulani nililokuwa naliamini sana.

nawaomba mkizidishiwa chenchi muwe mnarudisha, mtabarikiwa hayo tu.

Mimi nina bahati sana ya kuzidishiwa chenji ,huwa narudisha kama anayeuza ni M-mama kama msela labda awe na biashara ya kawaida tu ila kama ina mzunguko wa kutosha simrudishii ,juzi nilizidishiwa elfu 5.
 
Uliyemzidishie chenji naye ana maombi yake na mahitaji yake Mungu kaamua kumjibu kwa vitendo.
Acha wenge kwenye biashara utafilisika uchapiwe mkeo kiulaini.
 
Mimi nina bahati sana ya kuzidishiwa chenji ,huwa narudisha kama anayeuza ni M-mama kama msela labda awe na biashara ya kawaida tu ila kama ina mzunguko wa kutosha simrudishii ,juzi nilizidishiwa elfu 5.
KILA MLA CHA WENZAKE NA CHAKE PIA HULIWA. NI SUALA LA MUDA TU.
 
KILA MLA CHA WENZAKE NA CHAKE PIA HULIWA. NI SUALA LA MUDA TU.

Kweli mkuu ,ndiyo maana naangalia na mtu aliyenizidishia ,kama ana jiweza simrudishii kabisa ila hawa tia maji tia maji ni balaa kuchukua ,lazima utakuja kupoteza pesa zaidi ya hiyo.
 
Akili haikuwa sawa wakati huo, sikupiga hesabu vizuri ndio nashtuka saa hizi.

Mbaya zaidi niliyemrudishia alikuwa anatoka kanisani dhehebu fulani nililokuwa naliamini sana.

nawaomba mkizidishiwa chenchi muwe mnarudisha, mtabarikiwa hayo tu.
Chenji haiwezi vuka msimbazi mkuu 😅😅😅😅
 
Usawa huu inakuwa kama ngekewa na kama ni hela ndefu kidogo ujue huyo mteja hiyo njia hapiti tena. 😂😂

Na kama akipita basi tegemea viapo vyote kwamba umejichanganya si yeye uliyemzidishia.
Vipi jamaa Zetu leo?
 
Uliyemzidishia na yeye binadamu Kama wewe umesema ulikosea hesabu na yeye huenda hivyohivyo usjione binadamu wewe tu kwamba wengine hawakosei
 
Mimi nina bahati sana ya kuzidishiwa chenji ,huwa narudisha kama anayeuza ni M-mama kama msela labda awe na biashara ya kawaida tu ila kama ina mzunguko wa kutosha simrudishii ,juzi nilizidishiwa elfu 5.
Ahahahahah wanaume tunaumizana sana aisee
 
Uliyemzidishia na yeye binadamu Kama wewe umesema ulikosea hesabu na yeye huenda hivyohivyo usjione binadamu wewe tu kwamba wengine hawakosei

sio kweli mkuu,
nimejifunza leo. Akili yangu haikuwa sawa kutokana na jambo fulani lililonitokea nikashindwa kupiga hesabu vizuri. Baada ya akili kutulia nimegundua hilo.
 
Kweli mkuu ,ndiyo maana naangalia na mtu aliyenizidishia ,kama ana jiweza simrudishii kabisa ila hawa tia maji tia maji ni balaa kuchukua ,lazima utakuja kupoteza pesa zaidi ya hiyo.
Dhulma hiyo Tena vijana wengi hawajui ,,yaani Ni mbaya Sana haifai
 
Kuna namna pia Mungu huwasaidia watu wake ndo maana mda mwingine,
Na hata usishangae wala kumuona mbabaishaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…