NIMENOGEWA

NIMENOGEWA

k-bee

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2017
Posts
966
Reaction score
1,084
Wakuu katika jamvi hili unajua kunogewa wewe,Nmenogewa sana yaani nmenogewa sana,Kunogewa kuna utamu wake bwana yaaan full kunogewa Mtoto anajua mambo si kitoto daaah Utamu wake balaaa...............Nkikosa nachachawa.......Kitumbua chake si mchezo.......Anaweka Hiriki na mdalasini kwa mbali Yaan daily lazima ninunue nile anajua kupika sifa namna mpaka nmeweka oda nisikose vitumbua vyake..........Nimenogewa hakika
 
anaweka iliki na mdalasini ili kuvutia wateja zaidi
 
Sio bure kuna kitu umepewa maana sio kukisifia .
 
Wakuu katika jamvi hili unajua kunogewa wewe,Nmenogewa sana yaani nmenogewa sana,Kunogewa kuna utamu wake bwana yaaan full kunogewa Mtoto anajua mambo si kitoto daaah Utamu wake balaaa...............Nkikosa nachachawa.......Kitumbua chake si mchezo.......Anaweka Hiriki na mdalasini kwa mbali Yaan daily lazima ninunue nile anajua kupika sifa namna mpaka nmeweka oda nisikose vitumbua vyake..........Nimenogewa hakika
Weka kapicha na sisi tuone kama kimeungua ungua au kina ile rangi ya kutamanisha
 
Back
Top Bottom