Hujapigwa mkuu , kua na amanimkuu kwahiyo ni sahihi sijapigwa ndio uhalisia wenyewe?
Unataka music mzuri chukua HIFI music systemNi kampuni ya LG. Kuna maandishi yanasomeka lhd657 january 2023. Nimeifunga ndani kwangu cha ajabu inazidiwa mkito na hizi sabufa za kichina spiano
Nimeinunua 700k. Pesa yangu inaniuma sana kwa hiki nilichokutana nacho
Nimeagiza mwanza sijafata mwenyewe. Je, hii sio fake kweli wakuu?
mkuu utoke mziki mzuri uliochujwa base yenye mkito. sasa cha ajabu base ipo chini hata ukiongeza hamna chochoke kinachobadilika. mfano volium ipo 100 ni ya kawaida sana ukipunguza mpaka 40 ndio imeisha hiyoUnataka sound Kama huko bar au inayochuja mziki ? Maana sioni Kama umepigwa.
Inategema na badget yako, ila kuanzia laki tano unapata nzuri sana hata zile za Sonyni bei gan boss