Nimenunua kifurushi cha Dstv cha shilingi 23,000 nimepewa Channel nne tu.

Nimenunua kifurushi cha Dstv cha shilingi 23,000 nimepewa Channel nne tu.

DR SANTOS

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2019
Posts
12,846
Reaction score
28,106
Siku zote nimekua nikinunua compact ya cha 56000 elf kwaajili ya mpira sasa sitakuepo mwezi huu hivyo wife ameshauri tununue cha 23000 maana yeye hafatilii mpira zaidi ya maigizo tu
Nikaona isiwe kesi Nikalipa sasa cha kuchekesha ni kwamba zimekuja channels hizo apo kwenye picha yaani eatv,itv,clouds,na upendo tv
😂😂😂😂😂 So funny ebu wazoefu mnipe uzoefu hapa. Maana kwenye kipeperushi chao wameweka channels kibao
 
PXL_20230401_164652331.jpg
 
Infact hata kama hujalipia DStv hizo channel plus TBSHHII unazipata. Bonyeza *150*53# kwenye simu yako ya kiganjani halafu fuata maelekezo.
DStv is user friendly na wakiiondoa tz nanunua ule mdish mkubwa nione vitu vya maana.
Startimes Kama hujalipia hata hizi local fta channels hupati.
 
Infact hata kama hujalipia DStv hizo channel plus TBSHHII unazipata. Bonyeza *150*53# kwenye simu yako ya kiganjani halafu fuata maelekezo.
DStv is user friendly na wakiiondoa tz nanunua ule mdish mkubwa nione vitu vya maana.
Startimes Kama hujalipia hata hizi local fta channels hupati.
local channels unapata for free
 
Infact hata kama hujalipia DStv hizo channel plus TBSHHII unazipata. Bonyeza *150*53# kwenye simu yako ya kiganjani halafu fuata maelekezo.
DStv is user friendly na wakiiondoa tz nanunua ule mdish mkubwa nione vitu vya maana.
Startimes Kama hujalipia hata hizi local fta channels hupati.
Star times hata kama hujalipia unapata local channels zote
 
DStv wamekuwa wapuuzi, hivi ukiondoa michezo hususani mpira wa miguu, wana vipindi gani vingine vizuri ambavyo ni current?

Movies iwe iko Premium au Family, mtaangalia movie zile zile mlizoangalia kwenye channel zao tangu mwaka 2004.

Nikipata maujanja ya kucheki boli sehemu tofauti na Dstv kwa home, ndo nimewahama mazima!
 
Infact hata kama hujalipia DStv hizo channel plus TBSHHII unazipata. Bonyeza *150*53# kwenye simu yako ya kiganjani halafu fuata maelekezo.
DStv is user friendly na wakiiondoa tz nanunua ule mdish mkubwa nione vitu vya maana.
Startimes Kama hujalipia hata hizi local fta channels hupati.
Aise napenda huduma zao, nimewasiliana nao tayari channel zimerejea
 
Sio kweli Startimes ndio wanaonyesha local channels nyingi kuliko kidimbuzi chochote kuna hadi TV za uchochoroni zimejazana huko wanaonyesha bure bila malipo local channels zote
Azam ndo wanatoa local channels for free
 
System wameku-set kwamba hua unalipia kifurushi Cha compact sasa uliposhuka inabidi uwapigie kuwaeleza kua nimeshuka watakuongezea channel zingine, haisumbui hio ni simple tu
Kwani mpaka kuwapigia? Huwezi kubadili vifurushi kwa simu kama Azam?
 
Back
Top Bottom