Nimenunua kifurushi cha Dstv cha shilingi 23,000 nimepewa Channel nne tu.

Nimenunua kifurushi cha Dstv cha shilingi 23,000 nimepewa Channel nne tu.

Infact hata kama hujalipia DStv hizo channel plus TBSHHII unazipata. Bonyeza *150*53# kwenye simu yako ya kiganjani halafu fuata maelekezo.
DStv is user friendly na wakiiondoa tz nanunua ule mdish mkubwa nione vitu vya maana.
Startimes Kama hujalipia hata hizi local fta channels hupati.

Huwa mnatumia DsTV ya wapi hiyo mnaopata kuona free local channels?
 
DStv wamekuwa wapuuzi, hivi ukiondoa michezo hususani mpira wa miguu, wana vipindi gani vingine vizuri ambavyo ni current?

Movies iwe iko Premium au Family, mtaangalia movie zile zile mlizoangalia kwenye channel zao tangu mwaka 2004.

Nikipata maujanja ya kucheki boli sehemu tofauti na Dstv kwa home, ndo nimewahama mazima!
Hili tatizo la kurudia movie [emoji688] hata Azam, sijui wanakwama wapi yaani katika kila movie 10 za Azam (MBC 2, MBC Max, MBC Action, MBC 4 and others) basi hapo movies 7 tayari nimeshaziona. Nashindwa kujua wanashindwaje kupata latest movies wakati tunalipia 35,000 kila mwezi??
 
Hili tatizo la kurudia movie [emoji688] hata Azam, sijui wanakwama wapi yaani katika kila movie 10 za Azam (MBC 2, MBC Max, MBC Action, MBC 4 and others) basi hapo movies 7 tayari nimeshaziona. Nashindwa kujua wanashindwaje kupata latest movies wakati tunalipia 35,000 kila mwezi??
Wangekuwa wanaweka movies latest, kama imetoka January 2022, basi wao wahakikishe by July 2022 wana kibali cha kuionesha! Ziko nyingi mno, unaambiwa tu ukitaka movies mara sijui uende mtandaoni, mara Netflix.

Netflix, lazima ulipie monthly, uwe na bando ya kudownload au kuangalia moja kwa moja, gharama mara mbili.

Kule kwenye kununua mtandaoni, movie moja ndo mpaa 65,000 huko
 
Back
Top Bottom