Nimenunua kisimbuzi ya startimes vip ligi ya wingereza nitaona?

Nimenunua kisimbuzi ya startimes vip ligi ya wingereza nitaona?

Gily nyie ni ndugu
samtz1 unaleta ukakasi wa kufanya tuonekane ID moja acha kuiga iga. Tafuta ya kwakošŸ˜”
bluepixelanimations-r4.jpg


Moderator Active mnaruhusuje watu kuiga picha zangu. Why? why? why?
hqdefault.jpg


My name is Gily. The only super villain and master of Minions..
despicable-me-felonious-gru-ryzihh6awfpts8da.jpg
 
Nimepata pesa fulani hivi huku ikitosha kununua startimes vipi nitaangalia gem ligi zipi na zipi maana lengo nione man U Asenal, Liverpool, etc.. Nipo njiani naenda kufunga sasa
Utafurahia ndondo cup lakini siyo Soca.
 
Kila juma mosi utaona mechi Moja ya ligi ya uingereza epl inarushwa na k24 chanel namba 288, Kuna sanyuka tv channel namba 403. Utaangalia ligi ya ujerumani, ufaransa, utiruki, uarabuni, mechi zote za CAF, Ligue ya Kenya, Uganda, Ghana na Nigeria baadhi.

Ili kufaidi hayo lipia kifurushi Cha elf 21. Karibu startimes
 
Kila juma mosi utaona mechi Moja ya ligi ya uingereza epl inarushwa na k24 chanel namba 288, Kuna sanyuka tv channel namba 403. Utaangalia ligi ya ujerumani, ufaransa, utiruki, uarabuni, mechi zote za CAF, Ligue ya Kenya, Uganda, Ghana na Nigeria baadhi.

Ili kufaidi hayo lipia kifurushi Cha elf 21. Karibu startimes
Nashukuru mkuu
 
Nikupe ushauri, kabla hujanunua bidhaa yoyote hakikisha ina huduma unazozipenda. Kuna simu, kompyuta, tv na kadhalika. Visimbusi viko vingi na vinatofautiana huduma baadhi. Kuna chaneli hazipo kwenye visumbusi fulani. Makampuni mengine ya utangazaji yana visimbusi vyao na wameweka chaneli zao na zingine ila kuna washindani wao kibiashara nao wana chaneli zao na zingine. Hawa wote wana wateja wao wa kununua visimbuzi vyenye chaneli wanazozihitaji
 
Sasa si ungeuliza kabla ya kununua?
 
Back
Top Bottom