Nimenunua lori, niandikeje kwa nyuma?

Nimenunua lori, niandikeje kwa nyuma?

Andika maneno haya mkuu[emoji116]
_20200322_141105.JPG
 
Andika
1. Busara inakuja ukiishiwa pesa
2. Hata bibi alikuwa binti
3. Wapambe kaeni chonjo
4. Ikikukera kaa mbele wewe
5. Piga kelele usipite honi
5. Ukuipenda iga na wewe
6. Sio kila mzee ana busara wengine ni wajinga wameshazeeka
7. Hata kwetu wapo
8. Wahuni sio watu
9. Hata kipofu huota
10. Hawara hana talaka.


ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹ [emoji377]
 
Back
Top Bottom